Kelele za CHADEMA huko Twitter na mitandao ya kijamii mingine unaweza kudhani wanakubalika. Uraiani hamna lolote

Kelele za CHADEMA huko Twitter na mitandao ya kijamii mingine unaweza kudhani wanakubalika. Uraiani hamna lolote

Idugunde

JF-Expert Member
Joined
May 21, 2020
Posts
6,404
Reaction score
6,969
Na hiki ndio huwa kinawafanya wanaangukia pua, puuu.

Uraiani hawakubaliki kabisa maana ndio kwenye uhalisia.

Lakini wao wanakomaa kueneza propaganda njaa kwenye mitandao ya kijamii.

Kura zikijakupigwa kiuhalisia wanabaki kusema wameibiwa.
 
Nani anwajari hao machawa wa Samia

USSR
 
Sasa hivi ili uzi wako upate wachangiaji wengi huku mitandaoni ni lazima uitaje CDM. Anzisha uzi kuhusu sera za CCM, huwezi kupata wachangiaji hata watano.
 
images (5).jpeg
 
Sasa hivi ili uzi wako upate wachangiaji wengi huku mitandaoni ni lazima uitaje CDM. Anzisha uzi kuhusu sera za CCM, huwezi kupata wachangiaji hata watano.
Hii kauli yako tangia enzi zile
 
Na hiki ndio huwa kinawafanya wanaangukia pua, puuu.

Uraiani hawakubaliki kabisa maana ndio kwenye uhalisia.

Lakini wao wanakomaa kueneza propaganda njaa kwenye mitandao ya kijamii.

Kura zikijakupigwa kiuhalisia wanabaki kusema wameibiwa.
CDM mitandaoni uraiani hawapo 😁😁😁

E67327CA-16F8-4198-BA82-F35008704324.jpeg
 
Na hiki ndio huwa kinawafanya wanaangukia pua, puuu.

Uraiani hawakubaliki kabisa maana ndio kwenye uhalisia.

Lakini wao wanakomaa kueneza propaganda njaa kwenye mitandao ya kijamii.

Kura zikijakupigwa kiuhalisia wanabaki kusema wameibiwa.
Mbarali
FB_IMG_1677428758187.jpg
FB_IMG_1677428854517.jpg
 
Back
Top Bottom