Kelele za Kishambenga,nderemo za kishakunaku,Viburi na dharau Uchwara zimepotea ghafla Mujini,Vilio vimeanza upya!

Kelele za Kishambenga,nderemo za kishakunaku,Viburi na dharau Uchwara zimepotea ghafla Mujini,Vilio vimeanza upya!

UMUGHAKA

JF-Expert Member
Joined
Sep 1, 2021
Posts
2,753
Reaction score
12,932
Nsikuchoshe na Usinchoshe, Tusichoshane

TAHADHARI
Kama unaelewa kabisa una presha,au unahanguka na kuzimia kama OKW BOBAN SUNZU ,Tafadhali sana nakusihi tarehe 8.3.2025 usiende uwanjani au usiende banda Umiza !

Siku hiyo ndiyo siku ambayo GSM anakwenda kuchukiwa kuliko siku zote tangu Dunia iumbwe!,hivyo basi chukua TAHADHARI mapema!

Leo Kalpana kashindwa hadi kula kisa Ushindi wa mabingwa,amebaki kusonya tu kama kisokorokwinyo!

MAKOLO MLIBHWANJI?
 
Nsikuchoshe na Usinchoshe, Tusichoshane

TAHADHARI
Kama unaelewa kabisa una presha,au unahanguka na kuzimia kama OKW BOBAN SUNZU ,Tafadhali sana nakusihi tarehe 8.3.2025 usiende uwanjani au usiende banda Umiza !

Siku hiyo ndiyo siku ambayo GSM anakwenda kuchukiwa kuliko siku zote tangu Dunia iumbwe!,hivyo basi chukua TAHADHARI mapema!

Leo Kalpana kashindwa hadi kula kisa Ushindi wa mabingwa,amebaki kusonya tu kama kisokorokwinyo!

MAKOLO MLIBHWANJI?
Umerogwa 😞😞
 
Hakuna biashara nzuri sahivi Tanzania kama kuuza Dawa za maumivu..

Ni Muda wa CCM kuleta Panadol za Kenya kwa wingi
Makolo Muli Bwanji [emoji16][emoji23][emoji81][emoji1787]
Mnooo!😁
 
Hakuna biashara nzuri sahivi Tanzania kama kuuza Dawa za maumivu..

Ni Muda wa CCM kuleta Panadol za Kenya kwa wingi
Makolo Muli Bwanji [emoji16][emoji23][emoji81][emoji1787]
Kwani kuna nini? Mbona siwaelewi..mna furahia nini labda...kweli nyie utopolo hamnazo... 😀
 
Nsikuchoshe na Usinchoshe, Tusichoshane

TAHADHARI
Kama unaelewa kabisa una presha,au unahanguka na kuzimia kama OKW BOBAN SUNZU ,Tafadhali sana nakusihi tarehe 8.3.2025 usiende uwanjani au usiende banda Umiza !

Siku hiyo ndiyo siku ambayo GSM anakwenda kuchukiwa kuliko siku zote tangu Dunia iumbwe!,hivyo basi chukua TAHADHARI mapema!

Leo Kalpana kashindwa hadi kula kisa Ushindi wa mabingwa,amebaki kusonya tu kama kisokorokwinyo!

MAKOLO MLIBHWANJI?
Tulibhwanji mkuu
 
Huyu jamaa mleta mada atakuwa anachapwa nao, SIMBA tukishinda mechi zetu zote hadi kiporo tunarudi kileleni sasa unachofurahia nini?
 
20250218_001248.jpg
 
Nsikuchoshe na Usinchoshe, Tusichoshane

TAHADHARI
Kama unaelewa kabisa una presha,au unahanguka na kuzimia kama OKW BOBAN SUNZU ,Tafadhali sana nakusihi tarehe 8.3.2025 usiende uwanjani au usiende banda Umiza !

Siku hiyo ndiyo siku ambayo GSM anakwenda kuchukiwa kuliko siku zote tangu Dunia iumbwe!,hivyo basi chukua TAHADHARI mapema!

Leo Kalpana kashindwa hadi kula kisa Ushindi wa mabingwa,amebaki kusonya tu kama kisokorokwinyo!

MAKOLO MLIBHWANJI?
Makolo tulibwino
 
Back
Top Bottom