Kelele za Kishambenga,nderemo za kishakunaku,Viburi na dharau Uchwara zimepotea ghafla Mujini,Vilio vimeanza upya!

Kelele za Kishambenga,nderemo za kishakunaku,Viburi na dharau Uchwara zimepotea ghafla Mujini,Vilio vimeanza upya!

Nsikuchoshe na Usinchoshe, Tusichoshane

TAHADHARI
Kama unaelewa kabisa una presha,au unahanguka na kuzimia kama OKW BOBAN SUNZU ,Tafadhali sana nakusihi tarehe 8.3.2025 usiende uwanjani au usiende banda Umiza !

Siku hiyo ndiyo siku ambayo GSM anakwenda kuchukiwa kuliko siku zote tangu Dunia iumbwe!,hivyo basi chukua TAHADHARI mapema!

Leo Kalpana kashindwa hadi kula kisa Ushindi wa mabingwa,amebaki kusonya tu kama kisokorokwinyo!

MAKOLO MLIBHWANJI?
Tulibwanji.
Nakukumbusha kuweka akiba ya maneno. Kumbuka jana sio leo, wala leo sio kesho. Usikariri maisha. Msijiamini kupita kiasi. Mambo huweza kubadilika katika namna ambayo hukutarajia.
 
Nsikuchoshe na Usinchoshe, Tusichoshane

TAHADHARI
Kama unaelewa kabisa una presha,au unahanguka na kuzimia kama OKW BOBAN SUNZU ,Tafadhali sana nakusihi tarehe 8.3.2025 usiende uwanjani au usiende banda Umiza !

Siku hiyo ndiyo siku ambayo GSM anakwenda kuchukiwa kuliko siku zote tangu Dunia iumbwe!,hivyo basi chukua TAHADHARI mapema!

Leo Kalpana kashindwa hadi kula kisa Ushindi wa mabingwa,amebaki kusonya tu kama kisokorokwinyo!

MAKOLO MLIBHWANJI?
Ubaya ubwela namna gani pale!🤣🤣
 
Huyu jamaa mleta mada atakuwa anachapwa nao, SIMBA tukishinda mechi zetu zote hadi kiporo tunarudi kileleni sasa unachofurahia nini?
Ohooo!
 

Attachments

  • Screenshot_20250218_111715_Google.jpg
    Screenshot_20250218_111715_Google.jpg
    81.3 KB · Views: 1
Back
Top Bottom