kikiboxer
JF-Expert Member
- Dec 22, 2017
- 3,668
- 9,809
Wakuu salam.
Wale wafuatiliaji wa mpira wa mabeberu hapa nazungumzia ligi mbali mbali za ulaya hasa ligi pendwa Epl wanafahamu kwamba kipindi hiki cha covid19 mashabiki wamezuiwa kujumuika viwanjani kushangilia team zao.
Sasa basi kwa sisi tunaoangalia kwenye Tv kuna kelele za mashabiki bado tunazipata kama vile wapo uwanjani.
Yani unakuta goli likifungwa wanashangilia zaidi au kosa kosa zile unasikia aaah.!
Wakati mwingine mchezaji akifanya foul mbaya wanam-booooh! Same kwa mchezaji akiwa anatoka unasikia makofi.
Swali langu ni je hawa mabeberu wameweka zile sauti automatic kwamba zinasense mpira unavochezwa au kuna mtu/watu wanacontrol hizi sauti.
Yote kwa yote mabeberu wamecheza sana kutuwekea hii kitu.
Wale wafuatiliaji wa mpira wa mabeberu hapa nazungumzia ligi mbali mbali za ulaya hasa ligi pendwa Epl wanafahamu kwamba kipindi hiki cha covid19 mashabiki wamezuiwa kujumuika viwanjani kushangilia team zao.
Sasa basi kwa sisi tunaoangalia kwenye Tv kuna kelele za mashabiki bado tunazipata kama vile wapo uwanjani.
Yani unakuta goli likifungwa wanashangilia zaidi au kosa kosa zile unasikia aaah.!
Wakati mwingine mchezaji akifanya foul mbaya wanam-booooh! Same kwa mchezaji akiwa anatoka unasikia makofi.
Swali langu ni je hawa mabeberu wameweka zile sauti automatic kwamba zinasense mpira unavochezwa au kuna mtu/watu wanacontrol hizi sauti.
Yote kwa yote mabeberu wamecheza sana kutuwekea hii kitu.