Mm binafsi yangu nawaunga mkono Wanawake kwenye suala zima hili LA utawala na uongozi.
Wacha wafanye kazi,wacha wachape kazi.Wanawake hawana nongwa makazini kama UTAWAHESHIMU na kufata TARATIBU ZA KAZI.
Sisi wanaume tuna nongwa sana,tunapenda KUABUDIWA,kuonekana MIUNGU WATU hata ktk sehemu ambazo hazina maana yeyote.
Mwanamke akiwa boss wako MPE heshima yake tu basi utakuwa umemaliza kazi,usitumie uanamke wake kutaka kumuonyesha kuwa yeye si kitu,or si lolote wala chochote hapo utakuwa umechokoza vita kwa makusudi kabisa.
Kwa sasa Nchi imetulia,haina Mbwembwe, haina sifa za kijinga,haina ubabe wa kipumbavu wala haina mikurupuko.Full amani full respect.
Tuachie nizamu yao sasa waonyeshe walichonacho.mana sisi wanaume miaka na mikaka hakuna cha maana tunachofanya zaidi ya kujimwambafai tu basi.
Ngoja tuone mawazo na fikra Mpya zitatufikisha wapi!??
Go Go Go
Mama Samia..
Go Madam President..
We Love you Mama..