Kelele za wadada nyumba za wageni zinaaibisha

Kelele za wadada nyumba za wageni zinaaibisha

Mpaka nimeona aibu pale mapokezi
Miaka kadhaa huko nyuma niliisafiria kumfata baby wangu, ilikua ni kipindi cha joto balaa.... baada ya msosi kajioni flani hivi tukazama Lodge sasa kufanya kilichonileta, hata hatujaanza next room tukasikia kilio tukaanza kusikiliza kwanza, kilio kinachanganyia tu kama gari lapanda mlima, aseeeee mwanamke alikua analia yuleeee ikabidi tukae tu kuwasikiliza wao, tukazima na feni kabisa miili inasweat, joto balaa bize kusikiliza anavolizwa....ila kilikua ni kilio cha wizi.

Mida ya kukabidhi chumba saa nne niliwahi kukaa mlangoni nimuone huyo shababi wa kike alielia usiku kucha. Usikute ndio mlikua nyie.
 
Hizo kelele ni janja janja na sijui nani aliwaambia wanawake tunapenda hizo kelele. Kuna ile miguno na sura kubadirika ujue iyo ndio yenyewe.

Au nasema uwongo ndugu zangu... ayaa
Inawezekana mkuu, mbaya zaidi ni kulitaja jina langu....anasema yuko tayari kumuacha mumewe aje aishi na mimi, kitu ambacho hakiwezekani
 
Wikiendi iliyopita nilipata mualiko kutoka kwa mpenzi wangu wa zamani; nami nikafunga safari na kueleka mkoani. Baada ya kufika, nikatafuta 'lodge' iliyonipendeza, nikalipia chumba kwa ajili ya mapumziko. Kwa sababu nilikuwa bado sijala, nikaweka oda ya chakula, kitimoto rosti, ndizi, matunda, na bia mbili. Baada ya kuweka oda, nikaenda kuoga ili kupunguza uchovu. Nilipotoka bafuni, ndipo wakaniletea vyakula nilivyoagiza na kuanza kula taratibu. kutokana na uchangamfu wangu, hapo 'lodge' wakawa wamenizoea kwa muda mfupi.


Wakuu, mlishakutana na hali hii? Na ulijisikiaje?
Turudishie chenji i see, sio kwa tango pori hili.
 
Hapo solution ninkujiepusha na mazoeya ya kindezi na wahudumu wa lodge/guest house maana kuna siku utakuja na mrembo mwingine watakuchangamkia sana kwakuwa mnajuana na mwisho wa siku utaonekana una mambo mengi ya kugalauzana mara kwa mara hapo lodge.
Kujiepusha muhimu, au ikiwezekana ni bora kubadilisha badilisha lodge
 
Nyie wanawake wajanja sana. Mnaweza kumfanya mtu akajiona yeye ndiye mfalme wa mapenzi kumbe maigizo tu. Na mwanaume boya anatoka hapo akijigamba kuwa yeye ndiye yeye bingwa wa kupelekea moto kumbe hakuna kitu.

Kweli mnajua kututunzia ego zetu na kutufanya tujione miamba. Yaani hata mwanaume ana kibamia binti anayejielewa bado tu atagugumia kwa maumivu na kelele kibao ili kulinda saikolojia ya mwanaume. Kwa hili mbarikiwe sana mpaka mshangae [emoji16]
😂😂😂 Kujiona mwambaaaa kumbe makolokocho tu viuno vya mjusi
 
Miaka kadhaa huko nyuma niliisafiria kumfata baby wangu, ilikua ni kipindi cha joto balaa.... baada ya msosi kajioni flani hivi tukazama Lodge sasa kufanya kilichonileta, hata hatujaanza next room tukasikia kilio tukaanza kusikiliza kwanza, kilio kinachanganyia tu kama gari lapanda mlima, aseeeee mwanamke alikua analia yuleeee ikabidi tukae tu kuwasikiliza wao, tukazima na feni kabisa miili inasweat, joto balaa bize kusikiliza anavolizwa....ila kilikua ni kilio cha wizi.

Mida ya kukabidhi chumba saa nne niliwahi kukaa mlangoni nimuone huyo shababi wa kike alielia usiku kucha. Usikute ndio mlikua nyie.
We hatari sana, ukaamua kupiga chabo..
 
Back
Top Bottom