Kelele za wadada nyumba za wageni zinaaibisha

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ mkuu na wewe ulitakiwa utafute chombo, nacho kianze kuwapigia kelele
 
NAMI Nilijuwa nipo Mwanza Kwenye Semina.
Tena nilikuwa chumba Na. 28 nimeboreka nimetulia tuh mbona tulipishana kwenye korido hukunisemesha wakat ulikuwa mwenyewe tuh!!
Wanaume mnakwama wapi jaman?
Ungemsemesha nanyi muanze kupiga kelele
 
Chai ya jioni
 
Zamani alikuwa anapiga kelele?
Kama ni hapana ulipigwa

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
 
Chuma Kama chuma
 
Napenda show za kibubu + sauti za uvutaji hewa huwa naona ndio vitu real c ,majina au masauti organized n wizi,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…