Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umevaa shanga?team wafiwa mnapenda kujifariji
Sasa mbona alikataa kukaguliwa na CAG..JPM alikuwa mtu na nusu kwny miradi ya maendeleo
Huyu jamaa anajulikana ana chuki na hayati JPM.Nyankurungu2020 basi mtukane na huyo!
CHUKI SI KUSEMA KWELI, TAKE NOTE OF THIS!Huyu jamaa anajulikana ana chuki na hayati JPM.
Watanzania sio wajingaCHUKI SI KUSEMA KWELI, TAKE NOTE OF THIS!
Upo sahihi kabisa kwani nchi ina akiba ya dollar za marekani bilioni 6,253. Lazima waone aibu kwani nchi haidaiwi tena Kama alivyosema ndugai!Waolewa ubelgiji na Canada wameambulia aibuuu
Ulimi hauna mfupaUpo sahihi kabisa kwani nchi ina akiba ya dollar za marekani bilioni 6,253. Lazima waone aibu kwani nchi haidaiwi tena Kama alivyosema ndugai!
Huu ni mwanzo wa mwaka ujue!
Aaaaaiiiseee! Ila Sabaya na Bashite na ******** Mungu anawaona. Wacha funza wafaidi kwanza.Msikilize Peter Serukamba- anasema hakuna tena ubabe wala kubambikizana watu kesi.
Msikilize Warioba- Anasema uchaguzi wa 2020 ulikuwa ni aibu.
Hii ndio legasi unayotetea ama?
Mkuu Retired Nilishmuambia huyo msukule wa Mwendazake Nyankurungu2020 kuwa hatuwezi kupoa kupiga spana mpaka Dunia mzima ielewe udhalimu wa dikteta wa ChatoNyankurungu2020 basi mtukane na huyo!
Nimemwambia kuwa kusema kweli siyo chuki. watu wanasema ukweli wa maovu yaliyotendwa na Jiwe, maovu yasiyoelewekaMkuu Retired Nilishmuambia huyo msukule wa Mwendazake Nyankurungu2020 kuwa hatuwezi kupoa kupiga spana mpaka Dunia mzima ielewe udhalimu wa dikteta wa Chato
Ahaaa, wewe una chuki na hayati JPM na unajulikana humu jukwaani.Mkuu Retired Nilishmuambia huyo msukule wa Mwendazake Nyankurungu2020 kuwa hatuwezi kupoa kupiga spana mpaka Dunia mzima ielewe udhalimu wa dikteta wa Chato
Na ninapenda nitambulike kwa hilo kama mwana JF ninayemchukia JPM kuliko mtu mwingine yeyoteAhaaa, wewe una chuki na hayati JPM na unajulikana humu jukwaani.
Magufuli hakufaa kuwa raisi wa Tanzania. Angepanda cheo sana angeishia kuwa PM! Unampaje uraisi mtu asiyekuwa na akili TIMAMU???Mbona unaropoka hovyo kama unaharisha?
Sabaya kaka 30 hukoMchafu hachafuki. Magufuli alikwishachafuka muda mrefu kwa kumiliki kikundi haramu ndani ya Serikali maarufu kama "wasiojulikana". Na washirika wakubwa wakiwa Paul Makonda, Ole Sabaya, Musalika Makungu nk.
Tuliwaonya sana kuwa Magufuli siyo Mungu, iko siku hatakuwa madarakani na ukweli utawekwa wazi. Ule wakati ndiyo huu sasa