Mwalimu Mkuu huwezi kuunda tume ya kuchunguza KELELE za wanafunzi wakati umezisikia kuwa;
1.Monitor haandiki majina ya wapiga kelele
2.Mwl wa darasa hawasikilizi wanafunzi
3.Mwl wa nidhamu hawajibiki ipasavyo.
Kutokufundishwa na Mwl wanafunzi wataanza kuongea wao kwa wao mwisho huzaa kelele.