Uongo ulianza awamu ya 5 na baba wa uongo ni yule mwendawazimu ws chato.
Kuna siku aliwahi kusema kuna mtu alimtuma kwa matibabu nje! Sasa wewe mtu anatumwa kwenda kutibiwa?
Kassim Majaliwa , Magufuli ni mzima anachapa kazi March 13, 2021
Samia Machi 17,2021 .Magufuli alilazwa tangu Machi 6,2021.
Nani hapo mkweli nani tuanze kumfunga kwanza ndio tuje kwa suala la Mpango.