ukiwa haumkubali Mtu hauwezi kumwelewa...Hana kitu...mi nna collection ya stand ups najaza tera 1.....nkasema ngoja nitafte moja ya huyu bwama mdogo kevi maana skunying huwa simkubali..sasa zingne zoote nmeshaangalia nkasema aarg ngoja nichek mbili tatu...naona ananiboa tu
Hakuna kitu. Hapo
Inaonekana ana management ya nguvu sana ila stand up hakuna kitu
Anaweza tumia dk5 watu hawajacheka...not only watu..mim mwenyew sjacheka
Sjui sabab nawaangalia sana ma legend
Eddie griffin,chris rock,richard prior,bernie mack,steve harvey etc
Anazingua...kama hii irresponsible show..ukumbi umefurika lakin anaongea ongea tu...hapo angekua eddie ingekua balaa
Wanambania eddie griffin sabab ana race jokes
Hyo list namchkua chris na dave tu ..naomba tafuta show za eddie griffin uone maajab au bernie mack
one of the best comedian ever, "eddie griffin"
Kaka unamsahau George CahlinKevin Hurt binafsi nafikiri ni muigizaji zaidi
Au sitcom Zaid..
Ila stand up top ni
Dave chapele
Chris Rock
Eddie Murphy
Cat Stevens
He's just an American! Hata Trevor Noah anamzidi kwenye Stand up comedies!! Ila kwenye movie nampa gwara,he is a good actor!Hakuna kitu. Hapo
Inaonekana ana management ya nguvu sana ila stand up hakuna kitu
Anaweza tumia dk5 watu hawajacheka...not only watu..mim mwenyew sjacheka
Sjui sabab nawaangalia sana ma legend
Eddie griffin,chris rock,richard prior,bernie mack,steve harvey etc
Anazingua...kama hii irresponsible show..ukumbi umefurika lakin anaongea ongea tu...hapo angekua eddie ingekua balaa
Wanambania eddie griffin sabab ana race jokes
Naichukulia hii comment Kama imejaa kiracismHawa ni top hata whites hawawagusi..
Whites nilikuwa namkubali Seinfeld..
Trevor Noah ni top Africa..
hahahaah, huku baba wa chriss akiwa Terry crews...huyu jmaa huwa namkubali swaga zake tu....hahahahaNamkubali Chris Rock, Kelvin Hart hata mimi simuoni kama ni comedian mkali hata movie zake zina comedy za ajabu ajabu, tofauti na Chris rock sitosahau everybody hates Chris.
Hata mimi Terry Crews namkubali sana. Ile show mpaka leo nikiitazama nacheka sanahahahaah, huku baba wa chriss akiwa Terry crews...huyu jmaa huwa namkubali swaga zake tu....hahahaha