ngara23
JF-Expert Member
- Aug 31, 2019
- 9,091
- 21,087
Coach wa Taifa stars hajamujuisha mshambuliaji hatari wa Tanzania anayecheza KRC Genk ya Belgium
Coach huyo alipoulizwa ameapa hatomuita tena kuchezea team ya Taifa kwa utovu wa nidhamu aliounesha
Mimi najiuliza utovu wa nidhamu gani huo ambao hausameheki
Kelvin John ni kijana mdogo bila shaka kukosea kupo kwa vijana na coach inatakiwa aweze kumuongoza na kulinda carrier yake
Namsihi coach amuite ni kijana mwenye kipaji kikubwa mno tunamhitaji kama taifa
Sent using Jamii Forums mobile app
Coach huyo alipoulizwa ameapa hatomuita tena kuchezea team ya Taifa kwa utovu wa nidhamu aliounesha
Mimi najiuliza utovu wa nidhamu gani huo ambao hausameheki
Kelvin John ni kijana mdogo bila shaka kukosea kupo kwa vijana na coach inatakiwa aweze kumuongoza na kulinda carrier yake
Namsihi coach amuite ni kijana mwenye kipaji kikubwa mno tunamhitaji kama taifa
Sent using Jamii Forums mobile app