Ituzaingo Argentina
JF-Expert Member
- Jun 20, 2020
- 1,868
- 2,191
Kama ana utovu wa nidhamu je! Mara ngapi tunasikia wengine wakilalamikia makocha wasiingiliwe kazi zao! Leo mnaanza kumlalamikia kocha kisa mtu mmoja!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa uongo haujamboHivi mchezaji anaecheza first eleven ya KRC Genk inayocheza league kuu ya Belgium utamwacha umchukue Kibu Denis
Sent using Jamii Forums mobile app
Hawa wachezaji wasikie tuu wahuni kweli kwwli wanaweza kukugegedea mkeo au mtoto wako wa kike ukicheka naoKabisa hata bila mashabiki na baadhi ya Viongozi Wa nchi kupiga kelele Kule Morocco Zyechi asingeitwa timu ya Taifa sababu ya bifu za kijinga
Na ndo maana kapelekwa team b, mwishowe watamuacha kabisa. aje mtibwa.Dogo ni mlevi full stop
nakaziadogo kapewa nafasi ya kuomba msamaha na kubadirika ila amekaza shingo
na hii inachangiwa na nyuzi kama hizi kumuonesha dogo ana umuhimu kumbe mavi tu
atulie watu wafanye kazi
Sasa hivi pale Genk amekalia kuti kavuNa ndo maana kapelekwa team b, mwishowe watamuacha kabisa. aje mtibwa.
Mambo mengine hustahili wewe kujua.Tujuze utovu wake wa nidhamu ni upi!??
Tanzania mtu akiwa bora mtapambana ashukedogo kapewa nafasi ya kuomba msamaha na kubadirika ila amekaza shingo
na hii inachangiwa na nyuzi kama hizi kumuonesha dogo ana umuhimu kumbe mavi tu
atulie watu wafanye kazi
Amepewa nafasi ya kuomba radhi kakataa tumpe nini sasa? Aende zakeTanzania mtu akiwa bora mtapambana ashuke
Ni gani katenda yule mtoto lisilo zungumzika?
Sent using Jamii Forums mobile app
Anakocheza Kelvin hata Sopu na wenzake wanatamani tu kwenda ila uwezo hakuna.Tupe takwimu zake, ili tumlinganishe na walioitwa.
Ali Kamwe anakuuliza "Zaha anamzidi Paccome?"Makocha wanapaswa kuingiliwa maana muda mwingine wanakuwa na mihemko ambapo inapelekea kuligharimu taifa. Mfano kocha wa Ivory coast kumwacha Wilfried Zaha kama sio mihemko nini. Hakuna anaemzidi zaha kwenye kikosi cha Ivory coast ila kocha kamwacha. Ni kama huyu nae anamwacha Kelvin John sababu ni ipi hasa ?
Kelvin John match 10 za mwisho hayupo hata subHivi mchezaji anaecheza first eleven ya KRC Genk inayocheza league kuu ya Belgium utamwacha umchukue Kibu Denis
Sent using Jamii Forums mobile app
Usikute aligoma kutoa rushwaMakocha wanapaswa kuingiliwa maana muda mwingine wanakuwa na mihemko ambapo inapelekea kuligharimu taifa. Mfano kocha wa Ivory coast kumwacha Wilfried Zaha kama sio mihemko nini. Hakuna anaemzidi zaha kwenye kikosi cha Ivory coast ila kocha kamwacha. Ni kama huyu nae anamwacha Kelvin John sababu ni ipi hasa ?
Yupo baadhi kaanzaKelvin John match 10 za mwisho hayupo hata sub