Kabisa hata bila mashabiki na baadhi ya Viongozi Wa nchi kupiga kelele Kule Morocco Zyechi asingeitwa timu ya Taifa sababu ya bifu za kijingaMakocha wanapaswa kuingiliwa maana muda mwingine wanakuwa na mihemko ambapo inapelekea kuligharimu taifa. Mfano kocha wa Ivory coast kumwacha Wilfried Zaha kama sio mihemko nini. Hakuna anaemzidi zaha kwenye kikosi cha Ivory coast ila kocha kamwacha. Ni kama huyu nae anamwacha Kelvin John sababu ni ipi hasa ?
Coach wa Taifa stars hajamujuisha mshambuliaji hatari wa Tanzania anayecheza KRC Genk ya Belgium
Coach huyo alipoulizwa ameapa hatomuita tena kuchezea team ya Taifa kwa utovu wa nidhamu aliounesha
Mimi najiuliza utovu wa nidhamu gani huo ambao hausameheki
Kelvin John ni kijana mdogo bila shaka kukosea kupo kwa vijana na coach inatakiwa aweze kumuongoza na kulinda carrier yake
Namsihi coach amuite ni kijana mwenye kipaji kikubwa mno tunamhitaji kama taifa
Sent using Jamii Forums mobile app
Mnatetea watovu wa nidhamu si ndio?Coach wa Taifa stars hajamujuisha mshambuliaji hatari wa Tanzania anayecheza KRC Genk ya Belgium
Coach huyo alipoulizwa ameapa hatomuita tena kuchezea team ya Taifa kwa utovu wa nidhamu aliounesha
Mimi najiuliza utovu wa nidhamu gani huo ambao hausameheki
Kelvin John ni kijana mdogo bila shaka kukosea kupo kwa vijana na coach inatakiwa aweze kumuongoza na kulinda carrier yake
Namsihi coach amuite ni kijana mwenye kipaji kikubwa mno tunamhitaji kama taifa
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi mchezaji anaecheza first eleven ya KRC Genk inayocheza league kuu ya Belgium utamwacha umchukue Kibu DenisTupe takwimu zake, ili tumlinganishe na walioitwa.
Kaka Kelvin John karudishwa team B.Hivi mchezaji anaecheza first eleven ya KRC Genk inayocheza league kuu ya Belgium utamwacha umchukue Kibu Denis
Sent using Jamii Forums mobile app
Basi kama hautaki kuamini
Acha kumpuuuza Kelvin JohnUko Genk achezi yupo team y vijana kuna uyu ben steak ypo team nae ya vijan kwaiyo mnatak kujaza wanafunzi team y taifa
Hachezi first eleven ya genk. Kelvin john yupo team BHivi mchezaji anaecheza first eleven ya KRC Genk inayocheza league kuu ya Belgium utamwacha umchukue Kibu Denis
Sent using Jamii Forums mobile app
Kelvin John anamzidi nani?Makocha wanapaswa kuingiliwa maana muda mwingine wanakuwa na mihemko ambapo inapelekea kuligharimu taifa. Mfano kocha wa Ivory coast kumwacha Wilfried Zaha kama sio mihemko nini. Hakuna anaemzidi zaha kwenye kikosi cha Ivory coast ila kocha kamwacha. Ni kama huyu nae anamwacha Kelvin John sababu ni ipi hasa ?
Akacheze timu ya familiaKama huna nidhamu ucheze ili iweje?
Kocha yupo sahihi kumuacha mchezaji kwasababu yoyote ikiwemo utovu wa nidhamu. Kocha Daniel Passarella aliwahi kumuacha Fernando Redondo kwenye kikosi cha Argentina cha WC 1998 kwa kugoma tu kunyoa nywele!😄Makocha wanapaswa kuingiliwa maana muda mwingine wanakuwa na mihemko ambapo inapelekea kuligharimu taifa. Mfano kocha wa Ivory coast kumwacha Wilfried Zaha kama sio mihemko nini. Hakuna anaemzidi zaha kwenye kikosi cha Ivory coast ila kocha kamwacha. Ni kama huyu nae anamwacha Kelvin John sababu ni ipi hasa ?