chase amante
JF-Expert Member
- Feb 24, 2018
- 5,599
- 2,115
Mbona Aisha Manula alikimbia game ya Algeria kwa kisingizio amejeruhiwa?Fala tu.... Msaada ni upi kwa taifa lake.... Kwenye michuano iliyomalizika ya afcon??
[emoji23][emoji23]Mbona Aisha Manula alikimbia game ya Algeria kwa kisingizio amejeruhiwa?
Sasa anacheza peke yake uwanjani. Acheni uzwazwaFala tu.... Msaada ni upi kwa taifa lake.... Kwenye michuano iliyomalizika ya afcon??
Alichoshwa na Mungu wa DarMbona Aisha Manula alikimbia game ya Algeria kwa kisingizio amejeruhiwa?
Unamaanisha Kelvin Yondan Mibangi aliemtemea mate Ahsante Kwasi wa Simba?Beki bora kwa miaka 10 iliyopita kwangu mimi ni Kelvin Yondani Cotton Injinia Vidic.
Licha ya umri kuanza kumtupa mkono sasa, Kelvin Yondani katika ubora wake alikuwa ni mwamba usiotikisika. Yondani anaweza akacheza mpira wa kutumia akili pia Yondani anaweza akacheza mpira wa nguvu na ubabe.
Amekuwa tishio kwa washambuliaji wengi nchini hata kwa marefa ambao wamekuwa wakimuogopa kumpa kadi pale anapocheza undava. Kwangu mimi beki unatakiwa uwe katika kariba ya Yondani.
Yondani ana ball control, anajua kupoza mashambulizi, anajua kuusoma mchezo vizuri, anajua kuanzisha mashambulizi kutokea nyuma hasa kwa zile pasi zake ndefu zenye macho pia amekuwa akifunga magoli muhimu kwa timu yake. Kitu pekee alichoshindwa ni nidhamu.
Kelvin Yondani, beki bora wa kati kumshuhudia hasa baada ya zama za Victor Costa kuisha.
Kwako mdau, unamzungumziaje Yondani?
View attachment 1145198
Aaaah urojo urojo Wa magotini uliisha siyo!?Alichoshwa na Mungu wa Dar
Hata Ramos alimtemea mate Iago aspasUnamaanisha Kelvin Yondan Mibangi aliemtemea mate Ahsante Kwasi wa Simba?
Yeah amekuwa na consistency sana huyu jamaaBeki bora kwa miaka 10 iliyopita kwangu mimi ni Kelvin Yondani Cotton Injinia Vidic.
Licha ya umri kuanza kumtupa mkono sasa, Kelvin Yondani katika ubora wake alikuwa ni mwamba usiotikisika. Yondani anaweza akacheza mpira wa kutumia akili pia Yondani anaweza akacheza mpira wa nguvu na ubabe.
Amekuwa tishio kwa washambuliaji wengi nchini hata kwa marefa ambao wamekuwa wakimuogopa kumpa kadi pale anapocheza undava. Kwangu mimi beki unatakiwa uwe katika kariba ya Yondani.
Yondani ana ball control, anajua kupoza mashambulizi, anajua kuusoma mchezo vizuri, anajua kuanzisha mashambulizi kutokea nyuma hasa kwa zile pasi zake ndefu zenye macho pia amekuwa akifunga magoli muhimu kwa timu yake. Kitu pekee alichoshindwa ni nidhamu.
Kelvin Yondani, beki bora wa kati kumshuhudia hasa baada ya zama za Victor Costa kuisha.
Kwako mdau, unamzungumziaje Yondani?
View attachment 1145198
Sasa km wanacheza woote uwanjani.... Kuna haja gani ya kumsifia peke ake???Sasa anacheza peke yake uwanjani. Acheni uzwazwa
Mkuu umemwelewa mleta mada?
Kiukweli Kelvin ni mfano wa kuigwa kwa wachezaji wa Tanzania. Ni kweli kuwa ana madhaifu yake ikiwemo hasira inayosababisha utovu wa nidhamu muda mwingine. Lakini ukiangalia ni mchezaji aliyekaa kwenye kiwango kikubwa muda mrefu na hata sasa ana umri mkubwa kwa takwimu miaka 35 lakini bado ana nguvu. Hii inaonesha ni mchezaji anayejitunza na asiyekuwa na majivuno na kuridhika.