Kelvin Yondani : The Living Legend

Kelvin Yondani : The Living Legend

Greatest Of All Time

JF-Expert Member
Joined
Jan 1, 2017
Posts
23,620
Reaction score
52,790
Beki bora kwa miaka 10 iliyopita kwangu mimi ni Kelvin Yondani Cotton Injinia Vidic.

Licha ya umri kuanza kumtupa mkono sasa, Kelvin Yondani katika ubora wake alikuwa ni mwamba usiotikisika. Yondani anaweza akacheza mpira wa kutumia akili pia Yondani anaweza akacheza mpira wa nguvu na ubabe.

Amekuwa tishio kwa washambuliaji wengi nchini hata kwa marefa ambao wamekuwa wakimuogopa kumpa kadi pale anapocheza undava. Kwangu mimi beki unatakiwa uwe katika kariba ya Yondani.

Yondani ana ball control, anajua kupoza mashambulizi, anajua kuusoma mchezo vizuri, anajua kuanzisha mashambulizi kutokea nyuma hasa kwa zile pasi zake ndefu zenye macho pia amekuwa akifunga magoli muhimu kwa timu yake. Kitu pekee alichoshindwa ni nidhamu.

Kelvin Yondani, beki bora wa kati kumshuhudia hasa baada ya zama za Victor Costa kuisha.

Kwako mdau, unamzungumziaje Yondani?

b70a0a66af2ebe3e6d5f36eed764e47e.jpeg
 
Beki bora kwa miaka 10 iliyopita kwangu mimi ni Kelvin Yondani Cotton Injinia Vidic.

Licha ya umri kuanza kumtupa mkono sasa, Kelvin Yondani katika ubora wake alikuwa ni mwamba usiotikisika. Yondani anaweza akacheza mpira wa kutumia akili pia Yondani anaweza akacheza mpira wa nguvu na ubabe.

Amekuwa tishio kwa washambuliaji wengi nchini hata kwa marefa ambao wamekuwa wakimuogopa kumpa kadi pale anapocheza undava. Kwangu mimi beki unatakiwa uwe katika kariba ya Yondani.

Yondani ana ball control, anajua kupoza mashambulizi, anajua kuusoma mchezo vizuri, anajua kuanzisha mashambulizi kutokea nyuma hasa kwa zile pasi zake ndefu zenye macho pia amekuwa akifunga magoli muhimu kwa timu yake. Kitu pekee alichoshindwa ni nidhamu.

Kelvin Yondani, beki bora wa kati kumshuhudia hasa baada ya zama za Victor Costa kuisha.

Kwako mdau, unamzungumziaje Yondani?

View attachment 1145198
Duu kweli wenzake walioanza naye kipind kile yangu yuko Simba wengi washachemka na mpira wamestaafu lkn yy bado yupo tu
 
Beki bora kwa miaka 10 iliyopita kwangu mimi ni Kelvin Yondani Cotton Injinia Vidic.

Licha ya umri kuanza kumtupa mkono sasa, Kelvin Yondani katika ubora wake alikuwa ni mwamba usiotikisika. Yondani anaweza akacheza mpira wa kutumia akili pia Yondani anaweza akacheza mpira wa nguvu na ubabe.

Amekuwa tishio kwa washambuliaji wengi nchini hata kwa marefa ambao wamekuwa wakimuogopa kumpa kadi pale anapocheza undava. Kwangu mimi beki unatakiwa uwe katika kariba ya Yondani.

Yondani ana ball control, anajua kupoza mashambulizi, anajua kuusoma mchezo vizuri, anajua kuanzisha mashambulizi kutokea nyuma hasa kwa zile pasi zake ndefu zenye macho pia amekuwa akifunga magoli muhimu kwa timu yake. Kitu pekee alichoshindwa ni nidhamu.

Kelvin Yondani, beki bora wa kati kumshuhudia hasa baada ya zama za Victor Costa kuisha.

Kwako mdau, unamzungumziaje Yondani?

View attachment 1145198
Kiukweli Kelvin ni mfano wa kuigwa kwa wachezaji wa Tanzania. Ni kweli kuwa ana madhaifu yake ikiwemo hasira inayosababisha utovu wa nidhamu muda mwingine. Lakini ukiangalia ni mchezaji aliyekaa kwenye kiwango kikubwa muda mrefu na hata sasa ana umri mkubwa kwa takwimu miaka 35 lakini bado ana nguvu. Hii inaonesha ni mchezaji anayejitunza na asiyekuwa na majivuno na kuridhika.
 
Back
Top Bottom