BWANKU M BWANKU
JF-Expert Member
- Jan 12, 2019
- 377
- 435
Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Umoja wa Vijana wa CCM Taifa (UVCCM) Ndugu Kenani Kihongosi kuanzia leo Alhamisi na kesho Ijumaa Machi 02-03/03/2023 atakuwa mkoani Singida na kufanya matukio matatu:-
✅ Kukutana na kuzungumza na Vijana wa Bodaboda na Bajaji.
✅Kukutana na kuzungumza na Vijana wa Chuo cha VETA.
✅ Kukutana na kuzungumza na Viongozi wa UVCCM kata zote za Singida Mjini.
#MtumishiWaWote
#AlipoMamaVijanaTupo
#CCMImaraSerikaliImara
#KulindaNaKujengaUjamaa
#KaziIendelee
✅ Kukutana na kuzungumza na Vijana wa Bodaboda na Bajaji.
✅Kukutana na kuzungumza na Vijana wa Chuo cha VETA.
✅ Kukutana na kuzungumza na Viongozi wa UVCCM kata zote za Singida Mjini.
#MtumishiWaWote
#AlipoMamaVijanaTupo
#CCMImaraSerikaliImara
#KulindaNaKujengaUjamaa
#KaziIendelee