Lee Napoleon
JF-Expert Member
- Feb 1, 2013
- 896
- 566
For real, with the facts and appreciation from legends pia wanaosema anaiokoa hiphop afu mtu umuunderrate inatia hasiraIyo album ni kali yaan ni bora mtu aseme Big Sean ni mkali kuliko Drake nitamuelewa kuliko waanze kumshindanisha Drake na Kendrick au na J Cole, Drake mwny anadikwa sn na ghostwrites
Bob no noma mzee..Nina album yake Underground Luxury.. Jamaa anajua kazi take..now naona anajichanganya na masuala ya imani..kama kadata hivi..mawazo yako na yangu hayajapisha sana..Kendrick was zama zile kabla ya Top Dawg Entertainment.. Alikua anachana had I nashangaa..but wa sasa ooh God..zamani nimemskilza sana..tangu Cypher yake ya kwanza..J Cole namuelewa sana kuanzia Friday night lights, Cole World the sideline story, Born sinner, 2014 Forest hill drive (best album yng toka kwake) hadi 4 Your Eyez Only hajawahi niangusha huyu ndo best rapper na namba one hip hop favorite artist wng mwezi ujao anatimba Nigeria ningekuwa namavumba ningeenda kumuona. Huyu jamaa hapendi kucheza na media wala mitandao km Drake au Kendrick yeye akija kwny media kaja kuachia kazi basi halafu anapotea mauzo yanaongea bila kiki
Drake mara ya mwisho kumfeel ilikuwa kwny album ya nothing was the same yaan ukickiliza iyo album na ukirudi kusikiliza Take Care uwezi kupeleka nyimbo mbele tofauti na izo more life, views zpo so local , if you're reading this It's too late sijawahi isikiliza ila izo zingine ninazo. Huyu jamaa anabebwa sn na media ila sio mkali sn kingine nimesoma hana tabia ya kuwatumia wasanii wa afrika kwa faida zke mwenywe reference kwa wiz kid.
Kendrick yupo vizuri uwezi mlinganisha na Drake ni bora umuweke kundi moja na J Cole.
Kendrick wa sasa sio km wa zamani uliokuwa unamsikiliza kwny mixtape zke km C4 kule jamaa alikuwa anakaza yaan anarap ile hadi misuli inatoka kichwani album zke nilizosikiliza ni Good kid maad city hadi leo hii album bado naisikikiza, Too Pimp a butterfly hii album imekaa kigumu gumu ukickiliza juu juu huwezi kuielewa na hii ya mwaka jana Damn ipo vizuri sana kila rika inaweza kuickiliza na kuielewa.
Top 5 yng
1.J Cole.
2.Kendrick
3 .Eminem
4.Jay Z
5.Kanye West
BOB na Macklemore pia naupendaga kuwasikiliza
Good morning Mr West haha wazee asbui now....PEACE....Kanye
Sanaaa... Anasema I'm sick from realness
Dah Bob nlitaka kuuliza yukwapi yan jamaa dah...Bob no noma mzee..Nina album yake Underground Luxury.. Jamaa anajua kazi take..now naona anajichanganya na masuala ya imani..kama kadata hivi..mawazo yako na yangu hayajapisha sana..Kendrick was zama zile kabla ya Top Dawg Entertainment.. Alikua anachana had I nashangaa..but wa sasa ooh God..zamani nimemskilza sana..tangu Cypher yake ya kwanza..
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] wake up Mr WestGood morning Mr West haha wazee asbui now....PEACE....
BOB kama kadata namchekigi insta nachekaga sana ila ni mmoja wa rapper wakali hadi leo bado naisikilizaga album yke ya strange cloudsBob no noma mzee..Nina album yake Underground Luxury.. Jamaa anajua kazi take..now naona anajichanganya na masuala ya imani..kama kadata hivi..mawazo yako na yangu hayajapisha sana..Kendrick was zama zile kabla ya Top Dawg Entertainment.. Alikua anachana had I nashangaa..but wa sasa ooh God..zamani nimemskilza sana..tangu Cypher yake ya kwanza..
Duuuuh aiseeB.o.b yupo kwenye campaign kaanzisha inaitwa Bob earth is flat...anakusanya hela arushe sattelite Ku prove dunia tambarare..I think a nigga smoke what i sell
Game ime change, now mziki biashara kaka.Watumia auto tunes, T Pain, Lil Wayne, Future kwa kipindi kile ndiyo walisababisha Nas aseme hip hop is dead. Traditional hip hop ilikua inaenda omega sasa hivi wameibuka kina Desiigner, Migos, Travis, Lil Uzi wanazidi kuwakera wakongwe.
sisi watu wa generation ya makundi maarufu kama EPMD na daz EFX wakitamba na pini lao lisilo chuja la real hip hop acha tu tupite kimya kimya.
thread kama hizi wahenga huwa tunapenda kuwa wasomaji.
lil pump nachompendea nyimbo ya kijinga ila hitKaka umegusa point ya maana sana..kabla ya LL cool J hajatoa nyimbo yake I need love,,rappers walikua harsh sana kwa wanawake..cool j ndio kafungua njia ya Rap za Mapenzi.."lavie dovey"..wakina Gucci Gang wanaboa sana but ndio wakati wao..kama ilivyo kua singeli mwaka 2015
Ndio ujanja huo..soldier boy alimwambia Lupe fiasco kua hashindwi kuandika meaningful song like Lupe's song's.. But hawezi kupoteza muda huo..yy anataka kutoa ngoma Kali tuuu..beat Kali..catch up hook..mistari 8 unarudia rudia tu Gucci gang Gucci gang Gucci gang skriiiiii skrii hah inatosha..lil pump nachompendea nyimbo ya kijinga ila hit
Nilitumia hela ya ada kununua sound Kit's pack za kanye west..2009..nilikua natengeneza beats..haha
Anatamani kuziona zile vibe zake on stage [emoji23][emoji23]
kaka kendrick lamar is so overrated unajua kuna watu wameshika industry ya music yaani lazima upate tuzo au audience ila kwa kizazi chetu hakuna kama Jcole ndio maana wanamuita the therapoist jamaa anajua kama messi vile sema kama unavvojua marekani ili utoke lazima uime about money and girls ila jamaa yeye yupo real sio fake anajua mpaka anaboreWell,kama kama heading inavyojieleza..nadhani SI mimi peke yangu anaedhani kua Kendrick Lamar ha deserve hype anayopata,..jamaa WA kawaida Sana..TENA SANA..for the first time namskiza jamaa nilikua high school mwaka 2011..kwenye ngoma ya Look Out For Detox.. Shit was real..alichana Sana..flow on point,lyrics..beat..wala hakua anapiga kelele kama sasa..now nashangaa watu wanamsifia Sana but kiukweli sijawahi kukoshwa na K Dot...hayupo hata kwenye list ya rappers wangu watano..My Top FIVE IS
1: J Cole
2😀rake
3:Big Sean
4:A$ap rocky
5: Pusha T
Nas sijui atakuwa na maoni gani sasa hivi cause that hip hop haikuwa imekufa ila now ndio imekata ringi mazimaWatumia auto tunes, T Pain, Lil Wayne, Future kwa kipindi kile ndiyo walisababisha Nas aseme hip hop is dead. Traditional hip hop ilikua inaenda omega sasa hivi wameibuka kina Desiigner, Migos, Travis, Lil Uzi wanazidi kuwakera wakongwe.