Kendrick Lamar is overrated

Kendrick Lamar is overrated

Bob no noma mzee..Nina album yake Underground Luxury.. Jamaa anajua kazi take..now naona anajichanganya na masuala ya imani..kama kadata hivi..mawazo yako na yangu hayajapisha sana..Kendrick was zama zile kabla ya Top Dawg Entertainment.. Alikua anachana had I nashangaa..but wa sasa ooh God..zamani nimemskilza sana..tangu Cypher yake ya kwanza..
BOB alikuwa anachana sana yule Jamaa ashhhhhhh ile ngoma yake ya airplane ilikuwa ninyimbo yangu bora ya mwaka kipindi Kile ilivyotoka ..Jamaa anabadili flow huku anaimba ana rap kwa speed kama anatoa melody vile ...Jamaa ni genius aisee
 
[QUOT lipo E="Cham Bee, post: 26074895, member: 273095"]Kendrick amepunguza mismamo kutokana na maelekezo anayopata kutoka kwa mabosi zake ndio maana hawezi kuwa sawa na yule wa Section 8 or Mad City nk.Huu muziki una wenyewe jamani ndio maana hata Big notorious na 2Pac walikuwa wakisugua na wenye muziki baada ya kuambiwa wapunguze ujuaji na viburi.Unapokuwa chini huwa ni rahisi sana kufanya kile unachokitaka lakini ukifika juu utaanza kufanya kile ambacho mabosi wanataka kulingana na soko.Underground wengi huwa wanapendwa na mtaa kwa faida ndogo au bila faida lakini wakifika kwenye main stream huwa wanapigiwa hesabu za kufaidika na kufaidisha watu.BITCH DON KILL MY VIBES..............[/QUOTE]

game lipo hvyo..mixtape rappers wanafanya kweli tofauti na album..ukiwa label unachaguliwa beats,artist WA Ku collab with,.na topic..
 
BOB alikuwa anachana sana yule Jamaa ashhhhhhh ile ngoma yake ya airplane ilikuwa ninyimbo yangu bora ya mwaka kipindi Kile ilivyotoka ..Jamaa anabadili flow huku anaimba ana rap kwa speed kama anatoa melody vile ...Jamaa ni genius aisee

Kinachomponza B.O.B ni misimamo ambayo ipo kinyume na system.......NEVER LIKE THE SYSTEM [emoji123].............
 
sisi watu wa generation ya makundi maarufu kama EPMD na daz EFX wakitamba na pini lao lisilo chuja la real hip hop acha tu tupite kimya kimya.

thread kama hizi wahenga huwa tunapenda kuwa wasomaji.
Dah waliotajwa wote hapo hata kumfikia laurny hill hakunna hata mmoja sijamuona hapo hiphop was ninety huko kwa sasa hawa magasho hakuna hata mmoja namuelewa
 
Tupac nilikuwa simpendi ila kuna siku nikasema ngoja nisikilize nyimbo zake
Aiseee baada ya kusililiza
Califonia love
Changes
Dear Mama
wallah nikapiga salute kudadek
wewe ulikuwa una matatizo ulikuwa humpendi yule baba wa lyrics ..aiseee ile ngoma yake yake ya changes ni balaaa..kama ulikuwa umekata tamaa lazima unyanyuke tena
 
BOB alikuwa anachana sana yule Jamaa ashhhhhhh ile ngoma yake ya airplane ilikuwa ninyimbo yangu bora ya mwaka kipindi Kile ilivyotoka ..Jamaa anabadili flow huku anaimba ana rap kwa speed kama anatoa melody vile ...Jamaa ni genius aisee
me naipenda John doe
 
Almost kila mwana Hip Hop huanza vizuri akiwa na misismamo yake binafsi lakini anapofikia level ya juu huwa chini ya watu kwa hiyo mambo mengi anayoyafanya yanakuwa yanakwenda kimikataba.Tusilaumu kubadilika kwao kwa sababu wao pia huangalia mustakabari wa maisha yao.SOMETIMES THEY MUST SELL THEIR SOUL TO THE......
 
mnapotaja wakali WA miaka ya 90 msimsahau BIG L..ana punchlines for years..
 
eti jamani wadau mnaweza niambia wht type of music genre is this beat belong to kuna mtu ananidanganya afu asubuhi kabisa
hii bro tunaita emotional piano rap..iko poa but alietengeneza Ni mwanafunzi..bado hajajua kuchagua drums nzuri...
 
Almost kila mwana Hip Hop huanza vizuri akiwa na misismamo yake binafsi lakini anapofikia level ya juu huwa chini ya watu kwa hiyo mambo mengi anayoyafanya yanakuwa yanakwenda kimikataba.Tusilaumu kubadilika kwao kwa sababu wao pia huangalia mustakabari wa maisha yao.SOMETIMES THEY MUST SELL THEIR SOUL TO THE......
DEVIL
 
Back
Top Bottom