Kengold FC wavaa jezi yenye udhamini tofauti juu Puma chini Nike

Kengold FC wavaa jezi yenye udhamini tofauti juu Puma chini Nike

Maendeleo ni hatua ila vile wameanzia championship hadi kuwa mabingwa walipaswa kuwa na brand yao hata ndogo TU ya kujiuzia jersey
Ukweli nilifurahi sana juzi tunacheza na Guinea na Uzi wa sandaland huku guinea wakiwa na puma na wetu bado kuonekana mzuri zaidi na Hawa wanaweza muomba sandaland au GSM awazalishie jersey
Kweli kabisa hilo linaweza kusaidia kwa namna moja au nyingine
 

Watu mnawasema utadhan hao simba na yanga hawajapitia huku.. miaka kumi kadhaa iliopita simba na yanga si walikuwa wote wanapokea jez za misaada kutoka kili breweries.. wasipopokea bas viongoz wao wanaingia chimbo kusagula sagula nyekundu nyeupe kijan njao wanakuja kuziuzia club zao hakukuwa na mambo sijui third kit wala brand..
So hao Kenygold na wengine wanaendeleza utamaduni..
Simba na yanga msijifanye sasa hv mmesahau asili yenu na nyie mliishi sana humo
 
Muda huu kwenye kipyenga extra ya EATV Naona wanaongelea hii ishu ya jezi na msemaji wa timu anajibu hayo maswali
 

ALERT!
Afisa habari wa KENGOLD katoa ufafanuzi wa kilichotokea jana kuhusu matumizi ya Brand mbili (NIKE na PUMA) huku sababu kuu ikiwa ni kutokana na kuchelewa kufika kwa jezi zao walizoagiza kutoka CHINA .

Jezi zimefika jana jijini MBEYA pia sababu saidizi ni kuwa walikuaa na pensi zao nyeusi lakini sheria hairuhusu kuvaa jezi zinazofana ndani ya mechi moja baina ya timu mbili hivyo ikapelekea kuwaomba wenyeji wao FOUNTAIN GATE FC kubadili jezi hasa upande wa pensi ili wao watumie nyeusi lakini walikataa , hali iliyowafanya wao kuingia katikati ya maduka ya Mjini BABATI kuangalia kama kuna uwezekano wa kupata pensi za idadi ya pensi 20 lakini wakabahatika kupata pensi za kijani za NIKE hivyo ikawalazimu kuzitumia hivyo hivyo.

Cha kuwapa moyo wanambeya ni kuwa jezi zimeshafika MBEYA ila zinasubiri tu kutambulishwa kwa mujibu wa Afisa habari.
 
ALERT!
Afisa habari wa KENGOLD katoa ufafanuzi wa kilichotokea jana kuhusu matumizi ya Brand mbili (NIKE na PUMA) huku sababu kuu ikiwa ni kutokana na kuchelewa kufika kwa jezi zao walizoagiza kutoka CHINA .

Jezi zimefika jana jijini MBEYA pia sababu saidizi ni kuwa walikuaa na pensi zao nyeusi lakini sheria hairuhusu kuvaa jezi zinazofana ndani ya mechi moja baina ya timu mbili hivyo ikapelekea kuwaomba wenyeji wao FOUNTAIN GATE FC kubadili jezi hasa upande wa pensi ili wao watumie nyeusi lakini walikataa , hali iliyowafanya wao kuingia katikati ya maduka ya Mjini BABATI kuangalia kama kuna uwezekano wa kupata pensi za idadi ya pensi 20 lakini wakabahatika kupata pensi za kijani za NIKE hivyo ikawalazimu kuzitumia hivyo hivyo.

Cha kuwapa moyo wanambeya ni kuwa jezi zimeshafika MBEYA ila zinasubiri tu kutambulishwa kwa mujibu wa Afisa habari.
Mwanzo mgumu
 
ALERT!
Afisa habari wa KENGOLD katoa ufafanuzi wa kilichotokea jana kuhusu matumizi ya Brand mbili (NIKE na PUMA) huku sababu kuu ikiwa ni kutokana na kuchelewa kufika kwa jezi zao walizoagiza kutoka CHINA .

Jezi zimefika jana jijini MBEYA pia sababu saidizi ni kuwa walikuaa na pensi zao nyeusi lakini sheria hairuhusu kuvaa jezi zinazofana ndani ya mechi moja baina ya timu mbili hivyo ikapelekea kuwaomba wenyeji wao FOUNTAIN GATE FC kubadili jezi hasa upande wa pensi ili wao watumie nyeusi lakini walikataa , hali iliyowafanya wao kuingia katikati ya maduka ya Mjini BABATI kuangalia kama kuna uwezekano wa kupata pensi za idadi ya pensi 20 lakini wakabahatika kupata pensi za kijani za NIKE hivyo ikawalazimu kuzitumia hivyo hivyo.

Cha kuwapa moyo wanambeya ni kuwa jezi zimeshafika MBEYA ila zinasubiri tu kutambulishwa kwa mujibu wa Afisa habari.
Uzembe tu.
 
Back
Top Bottom