Teargass
JF-Expert Member
- Apr 23, 2018
- 20,648
- 17,772
Leo nimekushika makende
Hahahahaha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahahaha
Tanzania hoyeeeeeeeeLeo nimekushika makende
Umeshikwa kwenye balls Buda, poleFailed state, Hahahahaha, Hahahahaha.
I don't deal with articles without dates.
Vipi huku kwenye watu, mbona mnadangaya kwamba barabara zimejengwa kumbe hamna kitu wabunge wanalalamika?Where are these Sh80 billion 2000km tarmac roads?
They say plan, launched by President Kenyatta, could turn out to be charade to siphon public funds.www-standardmedia-co-ke.cdn.ampproject.org
Hahahahaha, failed state ninyi, hamna uwezo wa kufanya lolote lile, kama mlishindwa kujenga mradi mdogo wa Galana kulalu, mtaweza kujenga barabara za Lami?, hovyo kabisa ninyi.I refer you to that thread about Kenya vs Tanzania roads.
Hapo ambapo Kenya ilimchapa 10 - nil.
media zimemnukuu patrick langat...eti ywataka watu wenye akili zao wapinge...bwahahaaaa...watu km hao wanaangaliwa kw jicho la tatu tu..Raila alipinga sana mikopo...hv sasa ameunga juhudi serikali...
kuna mahali nimenukuu hyo taarifa...hukui quote..ukaonelea usepe...
kenya 21000km
nchi ya asali 12000km...
jamani nchi kubwa inazungukwa mara mbili karibu kila sekta
Baada ya miaka 10 nje nilirudi Tanzania nikapanga kukaa wiki tatu, baada ya siku mbili ilibidi nibadilishe ticket niondoke baada ya wiki tu. Tanzania hapavumiliki kwa kweli hali ni ngumu balaa, kila kitu ovyo.
Na hapo hujaongezea ukienda maofisini wafanyakazi ovyo, unaingia limekaa tu linakuangalia baada ya kukwambia karibu, alafu unaenda unasalimia hata hujibiwi, unauliza kitu ghafla unaambiwa subiri. Yaani li nchi ovyo, mijitu mivivu ovyo. Hehehe, bongo kweli ni shit hole na ambaye halioni hilo labda hajatembea au akitembea hua anaenda nchi za kikuda comparable to bongo.
[/QUOTE]Huyu jamaa anatoa maoni yake kama anavyoona yeye, sasa Mimi unataka nichangie wapi?, kwa mfano kuhusu watu kuamini viongozi wao wa dini, Mimi linanihusu nini?, amewashutumu viongozi wa dini kwamba wanatenda mambo maovu, Mimi sina la kusema juu ya hili kwasababu sina ushahidi wowote, japo ninasikia yakisemwa mitaani.joto la jiwe uchangiaji wako unahitajika hapa ukisaidiwa na mkorinto eliakeem Ichoboy Geza Ulole redeemer Chamoto
QUOTE="Mkirindi, post: 31489723, member: 38346"]
Mleta Mada pole sana nami najipa pole.
Kwanza kabisa , ni vizuri tukaambiana ukweli, tukitambua tatizo na kukubali mapungufu yetu, bila kutupiana mpira, basi tunaweza yatatua mengi.
1. Watanzania sisi sio wazalendo, hatuna uchungu na nchi yetu. Hapa mwizi anasifiwa, muuza unga anapendwa, ulaghai ni fashion ya kuigizwa.
2. Viongozi wetu wa kisiasa ni wezi, waongo na walaghai, na bado tuko tayari kuumia kuwatetea. Na kila uchaguzi tunawachagua. Anasimama kiongozi wa chama asiyejua shida ya jimbo lako, anakuletea mbunge amtakaye yeye, anakuambia mpigie kura na unakubali. Uchaguzi sio wako ila wakuambiwa.
3. Viongozi wetu wengi wa dini ni wezi, wazinifu na waongo, hawamuogopi mungu na wana wadhulumu masikini kwa kutumia dini. Bado sisi tunawaamini kuwa wao ndio BROOKERS wetu kwa Mungu. Kila leo mapadre/mitume na mashehe wa kitapeli wanazuka nasi tunawakumbatia.
Sasa kwa maijinga kama hayo, tunategemea maendeleo gani?
Nitakupa mifano ya viongozi walio na kashfa za wizi wa mali za umma na bado wanachaguliwa majimboni kwao.
1. Chenge
2.Ngeleja
3. Mbowe
4. Sumaye
5. Lowasa
6. Ndugai
Na wengi wapo kila upande. Tumekubali kuunga vyama vya siasa kuundwa kama mali ya mtu ama watu binafsi na tunavipigania kama vyama vya umma.
You do realize that hizo 12000 km ni barabara za TANROADS peke yake.
Hata hivyo huko Kenya ni Km 4697 za lami ndio zipo kwenye hali nzuri. Sidhani kama hii Km 21000 ni sahihi, maana kwenye hii data ni km 11,197.9 tu ndio barabara za lami.
kwa hiyo ina maana Tanzania ina barabara za lami km nyingi zaidi kuliko Kenya, na hapo hatujajumlisha za TARURA.View attachment 1100153
Labda zingine wamejenga bahari 😂😂😁Hahahahaha, zile barabara za lami zenye urefu wa 21,000Km mlizosema zipo wapi?
Nilitaka kushangaa, Failed state iweze kujenga barabara zote hizo?
Thanks for posting 2013 data, you can even go ahead to post ya 1837.
Hahahahaha, failed state ninyi, hamna uwezo wa kufanya lolote lile, kama mlishindwa kujenga mradi mdogo wa Galana kulalu, mtaweza kujenga barabara za Lami?, hovyo kabisa ninyi.
Hahahahaha, failed state mumeshindwa hata kujenga kilometer moja ya reli, mlishindwa kupata $600M kujenga greenfield terminal, mtawezaje kujenga mradi wa Ksh1 trl.Galana Kulalu is a Sh1 trillion project. Hi ni TSh 23 Trillion kwa pesa ya madafu.
Project ya miaka mingi.
Hahahahaha, failed state mumeshindwa hata kujenga kilometer moja ya reli, mlishindwa kupata $600M kujenga greenfield terminal, mtawezaje kujenga mradi wa Ksh1 trl.
Mtu asiyewajua kwamba ninyi ni watu wa kupenda sifa wakati nchi yenu inawashinda kuiendesha, anaweza kuwaamini.
Huu mradi ulisainiwa mwaka 2014, kati ya GoK na kampuni la Israel thamani yake ilikua Kshs.10B. Hata hiyo pesa GoK ilishindwa kulipa jambo lililosababisha waisrael kuondoka, kumbuka mwaka 2014 bajeti ya Kenya ilikua haifiki Kshs1trl.
Ninyi wakenya mna matatizo ya akili, knowledge yenu ya kujua mambo ni ndogo sana.
![]()
Multi-billion Galana churns out Sh35m maize in a year
Multi-billion Galana churns out Sh35m maize in a yearwww-businessdailyafrica-com.cdn.ampproject.org
Hahahahaha, failed state mumeshindwa hata kujenga kilometer moja ya reli
Hahahahaha, kwanza hii project ilishakufa na haipo tena, Muulize Tony 254 atakujibu vizuri. Kama nilivyotangulia kukuambia kwamba, ninyi wakenya uwezo wenu wa kufikiria ni mdogo sana, kwa ujumla hamna akili, ndio sababu miradi yenu mingi unashinndwa kufikia malengo, mfano ni huu wa Galana, Green field terminal, SGR imeishia Naivasha, bomba la mafuta toka Lokachiar, electrification of SGR, ujenzi wa 5 stadia.Kenya we think 10, 20 30, 70 years ahead. Galana sio project ya miaka mbili.
In the next 20 years, we have planned to spend trillions on irrigation. Kwa pesa ya madafu, hio ni gazillions.
Galana ilipewa pesa ya pilot. Kufanya mapping, initial studies, kuzindua mbegu zitakazo fanya vizuri kwa hio ardhi, kujenga initial infrastructure etc. Kilichogunduliwa ni kwamba mto waliodhani utawezesha irrigation haungefaulu.
Ikapatikana lazima wajenga dams kwanza.
Out of 1 million acres za Galana, pilot programme ilikuwa 5,000 acres pekee.
Cha muhimu ni ujue kwamba Galana sio project ya mwaka mmoja ama miwili. Galana pekee yake itatuweka zaidi ya Israel kwa food production. Kwa hivyo mwenda wazimu tu ndiye anawezadhani ni project ya mwaka mmoja.