Kenya; 90% ya Barabara za Kenya hazina Lami

Kenya; 90% ya Barabara za Kenya hazina Lami

Hahahahaha, kwanza hii project ilishakufa na haipo tena, Muulize Tony 254 atakujibu vizuri. Kama nilivyotangulia kukuambia kwamba, ninyi wakenya uwezo wenu wa kufikiria ni mdogo sana, kwa ujumla hamna akili, ndio sababu miradi yenu mingi unashinndwa kufikia malengo, mfano ni huu wa Galana, Green field terminal, SGR imeishia Naivasha, bomba la mafuta toka Lokachiar, electrification of SGR, ujenzi wa 5 stadia.

Huu mradi wa Galana Kulalu ilikusudia kutumia 1M acres kwa ajili ya kuzalisha chakula, hasa mahindi, sasa ulivyomjinga unajisifia kutumia Kshs 1trl, kuzalisha chakula kutoka kwenye acres milioni moja, hiyo ni akili kweli?. Gharama ya kuzalisha chakula toka katika eneo lenye ukubwa huo haipaswi kufikia $500M. Ndio sababu mumejengewa reli mbovu na wachina kwa gharama kubwa, hovyo kabisa ninyi.
wajinga tu ndio wanaeza tumia picha za reli mbovu kuzitumia km progress katika reli yao nzuri...bwhahaa...nadhani werevu wameshanielewa...
 
kumbe kuna jamaa sgr inamuuna..hakuamini km itafika naivasha by 2019...wuhuhuuu...
 
failed state imejenga barabara 21000km wakati nynyi mko na 12000km...bwahahaaa
Hahahahaha, iweze kujenga barabara 21,000km ila ishindwe kujenga greenfield terminal ya $600M, ishindwe Galana kulalu Kshs 10B, ishindwe kumalizia reli hadi Kisumu. Hahahahaha, failed state at its best
 
failed state ina kra ina collect pesa ya miaka kadhaa ya tra...failed state iko na biggest port,failed state iko na bussiest airpot in the region...

nikuulize....nchi ya maziwa na asali imeishinda na nn failed state
 
failed state ina kra ina collect pesa ya miaka kadhaa ya tra...failed state iko na biggest port,failed state iko na bussiest airpot in the region...

nikuulize....nchi ya maziwa na asali imeishinda na nn failed state
That is exactly how failed state is, it collects more but it can't pay for its projects, all money is going to the few.
 
That is exactly how failed state is, it collects more but it can't pay for its projects, all money is going to the few.
bwahahaaa...failed state inalipa wafanyi kazi wake mshahara mzuri...una lingine tena
 
failed state iko na middle class kubwa kuliko nchi ya asali...wah!yani hi ni irony walai...failed state ina host international organisations...failed state literacy level iko juu kushinda nchi ya asali na mziwa...
 
bwahahaaa...failed state inalipa wafanyi kazi wake mshahara mzuri...una lingine tena
Hiyo ndio maana ya failed state, inalipa mishahara mizuri kwa wanasiasa na wafanyakazi ambao ni 2% ya watu wote, ikiwaacha 98% ya raia wote ndani ya Lindi la umasikini wa kutupwa wanaishi katika slums.
 
failed state iko na middle class kubwa kuliko nchi ya asali...wah!yani hi ni irony walai...failed state ina host international organisations...failed state literacy level iko juu kushinda nchi ya asali na mziwa...
Hahahahaha, international organizations zipo city center, ulitoka kidogo unakutana na Kibera, watu wanakunya chumbani ndani ya mifuko ya plastics.
 
Hiyo ndio maana ya failed state, inalipa mishahara mizuri kwa wanasiasa na wafanyakazi ambao ni 2% ya watu wote, ikiwaacha 98% ya raia wote ndani ya Lindi la umasikini wa kutupwa wanaishi katika slums.
wuhuhuuu...lkn vile vile failed state iko na middle class kubwa kuliko nchi ya maziwa...nchi ya maziwa iko na aslimia 56 ya watu wake ni maskini wa kutupwa wakati failed state haijafikia hyo idadi yenu
 
Hahahahaha, international organizations zipo city center, ulitoka kidogo unakutana na Kibera, watu wanakunya chumbani ndani ya mifuko ya plastics.
failed state iko na 5% ya jiji la nairobi limekuwa covered na slums..zikiongozwa na kibera pekee kunyakuwa 1%..wakati nchi ya maziwa dream houses zimetapakaa kila kona ya nchi ..hadi kw kijiji cha wambea nako...bwahahaaa
 
naskia nchi ya naziwa wafanyikazi ni 50% ya nchi..bwahahaaa...joto la jiwe hataki wafanyikazi wa kenya walipwe vizuri wajikimu katika familia zao...heheeee..yani mshara mtamu hadi unasaidia wewe na mke wako, watoto na pia wazazi wako kijijini...ila kw wenzetu hta nyumbani kwake mtu mshara haumtoshi...bwahahaa
 
jamaa kasema internationa organisations zinapatikana cbd ..bwahahaa..kisha wasema waijua nairobi...uko desperate mfuasi wa msukuma...
 
So unataka kusema Kenya imeajiri only 2% of her population? Sometimes I usually doubt your brain functioning.
Hiyo ndio maana ya failed state, inalipa mishahara mizuri kwa wanasiasa na wafanyakazi ambao ni 2% ya watu wote, ikiwaacha 98% ya raia wote ndani ya Lindi la umasikini wa kutupwa wanaishi katika slums.
 
Hiyo ndio maana ya failed state, inalipa mishahara mizuri kwa wanasiasa na wafanyakazi ambao ni 2% ya watu wote, ikiwaacha 98% ya raia wote ndani ya Lindi la umasikini wa kutupwa wanaishi katika slums.
Who is the chicken now? Wuhuhuhu, who is the chicken now? Wuhuhuhu.

Tanzania is the country with most of her citizens lives in extreme poverty in East Africa
tapatalk_1557144182930.jpeg
 
Hahahahaha, international organizations zipo city center, ulitoka kidogo unakutana na Kibera, watu wanakunya chumbani ndani ya mifuko ya plastics.
International organizations ziko;
1 Kilimani
2.Mombasa road
3.Westlands
4.Kileleshwa
5.Parklands
6.Upper hill
7.CBD
8.Ngong' Road
9.Thika
10. Athi river
11. etc
 
Who is the chicken now? Wuhuhuhu, who is the chicken now? Wuhuhuhu.

Tanzania is the country with most of her citizens lives in extreme poverty in East AfricaView attachment 1101110

Ninyi mkiambiwa ni failed state mbakasirika, David Ndii aliwaambia sana kuhusu upumbavu wenu wa kutotumia akili wakati wa kupanda miradi, sasa hivi mnaanza kujuta. Failed state ninyi
 
Back
Top Bottom