Barbarosa
JF-Expert Member
- Apr 16, 2015
- 22,584
- 27,817
Kenya acheni huu ujinga wa kujilinganisha na USA, Kenya ni poor third World Country wakati USA ni rich first World Country, hivyo kama USA wanaruhusu maandamano ni kwamba wanaweza kumudu lkn Kenya haiwezi kumudu huu ujinga!
Amkeni mnaingia shimoni, nchi haijengwi kwa chaos hata siku moja eti
,,we have the right to demonstrate” hayo ni mambo ya Kizungu bhana hii ni third World watu wako Kibera hawajakula tangu jana hlf unawafungulia kuingia shopping center ukitegemea waandamane kwa Amani na kurudi nyumbani kwa Amani?
Msichukuwe kila kitu cha Muzungu 1-1, kuna vya kuiga kama Elimu yao, work ethics, monogamy, n.k. lkn siyo ujinga wao wa sijui ,,black life matters” wanaweza kumudu chaos, Afrika is too poor for that, ...
Amkeni mnaingia shimoni, nchi haijengwi kwa chaos hata siku moja eti
,,we have the right to demonstrate” hayo ni mambo ya Kizungu bhana hii ni third World watu wako Kibera hawajakula tangu jana hlf unawafungulia kuingia shopping center ukitegemea waandamane kwa Amani na kurudi nyumbani kwa Amani?
Msichukuwe kila kitu cha Muzungu 1-1, kuna vya kuiga kama Elimu yao, work ethics, monogamy, n.k. lkn siyo ujinga wao wa sijui ,,black life matters” wanaweza kumudu chaos, Afrika is too poor for that, ...