Kenya Acquires Drones to fight al shabab terrorist and for regional security

Kenya Acquires Drones to fight al shabab terrorist and for regional security

Taarifa kutoka Marekani zinaeleza kuwa Wizara ya
Ulinzi ya Marekani itaipatia Kenya ndege nane ndogo
zisizohitaji rubani, ikiwa ni sehemu ya msaada wa
kijeshi kwa nchi za Afrika Mashariki, ili kuzisaidia
kupambana na wapiganaji wa Kiislamu wa Somalia,
al-Shabaab. Gazeti la Wall Street Journal la Marekani limearifu
kuwa Kenya itapata ndege hizo ambazo hazitakuwa
na silaha, lakini zinaweza kugundua maeneo
yanayofaa kulengwa na ndege au majeshi ya ardhini. Gazeti hilo limesema ndege zisizokuwa na rubani ni
sehemu ya msaada wa Marekani, pamoja na malori,
zana za mawasiliano, na silaha kwa Burundi, Djibouti
na Uganda.
 
Lengo ni kupanua soko la silaha za Marekani; ni mkakati wa kupunguza idadi ya watu barani Afrika.
 
Kenya will destroy militarily any jirani country that Does not cooperate with it in its fight against terrorism in the horn of africa
 
Kenya will destroy militarily any jirani country that Does not cooperate with it in its fight against terrorism in the horn of africa
Yaani hivyo vijikereng'ende (drones) mlivyoahidiwa na wamarekani ndio imekuwa nongwa. Aisee usijaribu kuchokoza nyuki, utakuja kujuta maishani. Kwa kifupi utatandikwa kama blanketi lililojawa na kunguni, na hivyo vijidrones utavisahau huko ulikoviweka!
 
Soma vizuri hio makala...hizi naniliu kumbe wa-Ganda washapewa tangia mwaka jana. Kenya wanapewa
mwaka huu afu ngoja usikize kero hapa!...By the way Waganda wamezitumia kufanya nini vile?

Oh kisha msaada wenyewe unahusu nchi kadhaa...ikiwemo Burundi, Djibouti na Uganda.

Wakenya kwa kupenda ligi hawajambo eti....lol!
Jakaya hajafahanu nini muda si mrefu ataomba za kuwasambaratisha UAMSHO
 
Yaani hivyo vijikereng'ende (drones) mlivyoahidiwa na wamarekani ndio imekuwa nongwa. Aisee usijaribu kuchokoza nyuki, utakuja kujuta maishani. Kwa kifupi utatandikwa kama blanketi lililojawa na kunguni, na hivyo vijidrones utavisahau huko ulikoviweka!

Uoga wa nini kaka?najua unadhani iyo nchi jirani ni tz.pole kaka tulia tz tayari inaunga mkono juhudi za kenya nchini somalia.pia usisahau kenya inaipenda tz sana upendo kwa kindugu. Ebu soma taarifa hiliyo hapa chini. Kikwete mwanaume kweli ccm juu juu zaidi
 
Tanzanian President Jakaya Kikwete has supported Kenya's decision to invoke Article 51 of the United Nations Charter to defend its
economic and security interests against Al Shaabab insurgents.
President Kikwete said Kenya is justified in taking action against the militants who have blatantly violated its territorial integrity
through escalated cross-border raids. He pledged his country's commitment to support efforts by Kenya, Igad, East African
Community, African Union and the international community to stabilise the entire Horn of Africa.
The Tanzanian leader, who is in Perth, Australia, for the Commonwealth Heads of Government summit, was speaking when he paid a courtesy call on President Kibaki at his hotel. The meeting followed an earlier briefing by President Kibaki to an executive session of the Commonwealth Heads of State and Government on Kenya's military operation against Al Shabaab.
During the session, President Kibaki maintained that Kenya was not at war with Somalia, but is carrying out military action against
the Islamic militia, which is a non- state actor. The Tanzanian leader, at the same time, joined other world leaders in calling for tougher action against piracy in the Indian Ocean, which increases the costs of international trade.
Earlier, at a forum on Indian Ocean Piracy held on the sidelines of the summit, participants observed that piracy is rife off the coast of Somalia, and is spreading to other regions around Africa.
 
US helped Al qaeda and Islamists and installed them to power in Libya. The same is done in Syria but US is fighting Al qaeda in Afghanistan and helps fight against Al qaeda affilliates in other parts of the world. Interesting!!

Kenya is fighting a proxy war, an AFRICOM war link https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/295778-taarifa-kwa-membe-nahodha-na-lowassa.html

stop the blame game. Proxy war ya nani? Al-shabaab are not killing those we are fighting for but Kenyans UUwhi! Mind you kenya has always stood on the sidelines. I do not understand why people busy themselves picketing when kenya stages an incursion fighting a rag-tag milita, But when Uganda/AMISOM decides to do it people ignore. PS give us credit for once we have managed to relatively and effectively contain this loathsome "sawdust ceaser" that others has been fumbling with including the US.
 
Soma vizuri hio makala...hizi naniliu kumbe wa-Ganda washapewa tangia mwaka jana. Kenya wanapewa
mwaka huu afu ngoja usikize kero hapa!...By the way Waganda wamezitumia kufanya nini vile?

Oh kisha msaada wenyewe unahusu nchi kadhaa...ikiwemo Burundi, Djibouti na Uganda.

Wakenya kwa kupenda ligi hawajambo eti....lol!


Mkuu kama kweli hizo drones ziko all that effective basi Waganda wangekwisha fanikiwa kumkamata KONI na kundi lake la uhasi! Kiufundi hivyo vi-drone ni kama model planes zilizofungwa TV na Inflared cameras, mtu yeyeyote ambaye yuko determined anaweza kuhunda vijendege hivyo kwa kutumia components za kuiongoza kutoka maduka ya Radio Shacks na RS Components, si hilo hata engine zake ndogo zinauzwa na makampuni ya ROTAX, JABIRU nk mpaka na small gas turbine engines zinapatikana kirahisi; cha muhimu hapa ni kujua uzito wa ki-drone kikiwa fully laden na mafuta na vifaa vyote alafu una nunua engine yenye THRUST ya kutosha at sea level hili kiweze kuruka bila matatizo.

Flight path zinauongozwa na RADIO na GPS zikiwasiliana na base station husika basi! Kusema eti nchi za Ulaya zina shahuku ya kununua vi-drone(spotter/scouting) vya D.I.Y naona hicho ni kichekesho. Labda nimalizie kwamba siku za karibuni Merikani ilitoa onyo kuhusu uwekano wa ma-terrorist kutumia viji-drone kama hivyo vyenye mabomu kushambulia majengo muhimu nchini mwao; walitoa onyo hilo kwa kuwa wanajua fika kwamba ni rahisi sana kuhunda vinjindege hivyo kwenye backyard.
 
Drones making warfare a computer game, a convergence of work and play.
 
once again some Tanzanian psycophants think they know what is best for Kenya military. All KDF procurement are advised on current and possible future threats and so far all new toys satisfy this logic. Back to the drone noise, besides the lightweight American Raven drone, Kenya has been shopping for the Israeli made Heron Drone (more capable UAS vehicle). when you talk of capabilities..it all narrows down to resources and military tactics or doctrines exploited by respective forces. When Kenya gets gunships....some low lifes screams their ass out, when we get drones...the same, when Kenya opts to up her airforce the same nonsense. Inferiority complex is a disorder, get checked up guys. And in any case, the hand thrown raven drone is mostly used in real time combat as an extra set of eyes and not deep search recon purposes a reserve of heron drones and the likes of predator drones. anyway this is what the raven drone is used for:
1) to identify enemy movement while in combat operation
2) prevent likelyhood of friendly fire through cordinate assault from different fronts esp in close contact ambushes eg surronding a small metropolis. (be advised to create the somali picture to understand better).
4) they are also cheap to service and operate
This maneno ati they are used to track Kony is gibberish nonsense....much capable drones with higher lift such as heron/predator drones were devised for such purposes, [RECON & MAPPING].
Lastly, stay out of KDF inventories and concentrate in modifying JWTZ doctrines to a sensible and a more modern outfit. Swam/mass deployments are so into the 80's plus your forces aint as many anyway.
 
Ukweli ndio huu, against well equiped modern army, JWTZ will be out on suicide mission.
 
Back
Top Bottom