Kenya again (it is shame)

Kenya again (it is shame)

Victor wa happy

JF-Expert Member
Joined
Apr 24, 2013
Posts
11,660
Reaction score
11,654
Hawa watu tuwatimue kwenye coalition ya East Africa wanatia aibu
IMG_20190616_090109.JPG


Kwenye Picha uyo kijana mweusi eti in under 13 ila huyo baba hakosi 28

Shame on you kenya
 
Ahaaa haaa haaa
Hapana bana. Huyo ni kocha wa vijana wa Kenya.
 
Hawa watu tuwatimue kwenye coalition ya East Africa wanatia aibuView attachment 1128830

Kwenye Picha uyo kijana mweusi eti in under 13 ila huyo baba hakosi 28

Shame on you kenya

Mbona una macho lakini umekataa kutumia ubongo.
Huyo mnayesema ni Mkenya, amevaa bendera ya Netherlands mkononi.

Pia, hio jersey yake iko na sponsor ambaye sio kampuni ya Kenya.

Tanzania mtabaki LDC kama wenzako wana akili ndogo kama wewe.
 
Mbona una macho lakini umekataa kutumia ubongo.
Huyo mnayesema ni Mkenya, amevaa bendera ya Netherlands mkononi.

Pia, hio jersey yake iko na sponsor ambaye sio kampuni ya Kenya.

Tanzania mtabaki LDC kama wenzako wana akili ndogo kama wewe.
vile DC mnakufa njaa,bora tubaki huku.
 
Back
Top Bottom