Kuna hii ametengeneza kwenye Pot Holes za Nairobi. Naisubuli sanaππTony Kuria pia anafatilia kwa hamu sanaπππMumefuatilia ujio wa huyu Richard Quest Kenya kuliko hata Wakenya wenywe, hamna interview inawapita, kweli mnateseka......na bado itawauma mpaka basi.
Kuna hii ametengeneza kwenye Pot Holes za Nairobi. Naisubuli sanaππTony Kuria pia anafatilia kwa hamu sanaπππView attachment 912059
Kuna nahii ya MchinaπππTangu jamaa aje haulali, hajaondoka bado hivyo unayo nafasi ya kuja kumshangaa......
Jombaa, ukirejea kwenye uzi wa kwanza kuhusu ujio wa huyu mwanahabari wa CNN, Richard Quest huku Kenya utangundua kwamba huyu mleta mada na wenzake wengi hawakuwa wanamfahamu hata kidogo. Nilishangazwa sana na hilo, kwamba watu ambao huwa tunajadili nao humu kuhusu masuala ya kibiashara, hawakuwa wanajua kuhusu show yake ya 'Quest means Business'. Leo hii wao ndio wamekuwa wataalamu. Aisee, kuna wajuaji wengi sana humu kazi kukariri tu wakati ni wazi kwamba ni ma'cavemen' wa kutupwa. [emoji1]Tangu jamaa aje haulali, hajaondoka bado hivyo unayo nafasi ya kuja kumshangaa......
Jombaa, ukirejea kwenye uzi wa kwanza kuhusu ujio wa huyu mwanahabari wa CNN, Richard Quest huku Kenya utangundua kwamba huyu mleta mada na wenzake wengi hawakuwa wanamfahamu hata kidogo. Nilishangazwa sana na hilo, kwamba watu ambao huwa tunajadili nao humu kuhusu masuala ya kibiashara, hawakuwa wanajua kuhusu show yake ya 'Quest means Business'. Leo hii wao ndio wamekuwa wataalamu. Aisee, kuna wajuaji wengi sana humu kazi kukariri tu wakati ni wazi kwamba ni ma'cavemen' wa kutupwa. [emoji1]
Unauwakika Richard Quest nilikuwa simfahamu?? Hivi ulielewa swali langu nilipo uliza,"kwani Richard Quest ni nani?? " i just meant what significance does he hold in this world him to be seen that he is so important!!.πππSikunyingine usipoelewa ulizaπππJombaa, ukirejea kwenye uzi wa kwanza kuhusu ujio wa huyu mwanahabari wa CNN, Richard Quest huku Kenya utangundua kwamba huyu mleta mada na wenzake wengi hawakuwa wanamfahamu hata kidogo. Nilishangazwa sana na hilo, kwamba watu ambao huwa tunajadili nao humu kuhusu masuala ya kibiashara, hawakuwa wanajua kuhusu show yake ya 'Quest means Business'. Leo hii wao ndio wamekuwa wataalamu. Aisee, kuna wajuaji wengi sana humu kazi kukariri tu wakati ni wazi kwamba ni ma'cavemen' wa kutupwa. [emoji1]
So you think I don't know Richard Quest.??πππThus why I always say the Kenyan thinking capacity is too dark like there skin colour. I owned a DSTV before you were thinking to come to town from villageπππ I have used all generations of DSTV decoders starting from the first one to the latest.ππππ Namjua Richard Quest kuliko wewe unavyo jua uwezo wako wakufikili πππHili nilishalisema mara nyingi, wengi wa hawa jamaa hukesha JF Kenyan forums wanajifunza mengi, angalia mada zao zamani wakati wanaanza ulinganishe na leo, unakuta wengi walikuja wakiwa vilaza sana, hata huyu Mkongoman Kiswahili na Kingereza zilikua zinampa shida sana, kukesha kwake huku naona siku hizi anaweza kutunga sentensi zinazoeleweka.
Hehehe tatizo hawalipi fadhila...kunao hujifanya Kenyan haters like tumewasaidia sana kujiboresha.
Haya ndio yalikuwa maneno yako ya kwanza baada ya kuingia kwenye uzi ambao watu walikuwa wakijadili kuhusu Richard Quest na KQ, 'huyu ndio monkey yupi tena?' Hata ukikana au urudi nyuma ufute comment yenyewe sio ishu. It might seem like a joke, but I here never forget what I register clearly after seeing it with my two eyes.Unauwakika Richard Quest nilikuwa simfahamu?? Hivi ulielewa swali langu nilipo uliza,"kwani Richard Quest ni nani?? " i just meant what significance does he hold in this world him to be seen that he is so important!!.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]