Kenya Airways Cancels New York Flights As Demand Dips

Kenya Airways Cancels New York Flights As Demand Dips

Kitu ninapenda ni vile wakenya wapo 'open minded to speak out their challenges' nimesoma hiyo habari na hata tweets za wananchi wao, chanzo cha challenge kimeonekana na how to solve them, but nchi fulani hapa E.A hata kusema hilo tatizo tu ni kosa, na kupitia hapa jamiiforums 'bato' za wa k.e na wa tz utagundua watu hawapo sawa kichwani, one entity ya great mind, great generation ni kutokuficha matatizo......wakenya si wanafiki katika inshu ambazo si za kinafiki na ni bonge la wanafiki katika inshu za kinafiki....[emoji2955][emoji2955][emoji2955]
😂😂 Inshu
 
#Kenya
kenya.jpg
.
Kuweni wazalendo Jamani tunajenga nchi kwa pamoja.
Tumuunge Dr Joseph Magufuli.
#Soon dege lingine kubwa linashuka hapa Tanzania.
#Make Tanzania Great again.
 
Kenya wamechanganikiwa baada yakuona Tanzania na Uganda wana nunua ndege..
 
hehehehehe hata hela za education world bank wametunyima.. tubaki bila education wamesema... i thought we had enough money??? ama cashew nuts pesa isha meza zote
Ulitegemea unazaa lakini watoto wako wasomeshwe na WB?, jihadhari wasikusaidie kutunza hadi mkeo.
 
Heading na contents are not aligned
Walijua New York nisawa na kwenda Mombasa kwa SGR[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Wazee waku kurupuka mnalipi lakusema[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

======

Kenya Airways recently launched direct flights from Jomo Kenyatta International Airport (JKIA) to JF Kennedy Airport in New York two weeks ago in a ceremony ruled with pomp and color.

KQ was set to operate daily flights from Nairobi to New York and back in what the government said a new opening for Kenya’s economy to prosper through trade relations between Kenya and the United States of America.

The first flight to New York was flagged off by President Uhuru Kenyatta at JKIA and had the Cabinet Secretary for Foreign Affairs, Monica Juma on board to New York. The takeoff and the landing were covered live of major Kenyan media outlets.

Some economic analysts raised concerns over the sustainability of the daily flights to New York and whether there were enough passengers to keep the planes flying without KQ running into losses. The government and KQ management insisted that everything was in order and set.

Two weeks after the launch, flights scheduled for New York between November 2018 and March 2019 have been canceled due to “low demand during the winter season.” Already 10 flights have been canceled, casting a dark shadow on what had been described as a “mark of history.”

Kenya Airways, says that the canceled flights are not “commercially viable” and that normal daily flights will resume after the winter period where demand is expected to spike.


Early this month, Kenya Airways also launched daily direct flights from Nairobi to Mogadishu, Somalia. The airline is set to fly seven times a week as it seeks to enhance intra-Africa air connectivity linking cities and facilitating movement of people, goods, and services.

Questions many Kenyans are asking: will the direct flights from JKIA to JFK be sustained? Will Kenyan benefit from the direct flights? Will Kenya Airways get the intended returns from the flights?

Kenya Airways Cancels New York Flights As Demand Dips
 
That’s is part of teething problems, even a new pair of shoes can give you discomfort in the first few days.
Mbona za Magu mnaziponda na wala huwa hamsemi maneno kama haya?
 
Back
Top Bottom