Kenya Airways Dreamliner no.3 imetua Kenya

kwa taarifa tu KQ wameshauzia baadhi ya hizo ndege OMAN AIR
 
Mpuuzi kabisa.Yaani wewe badala ya kujipenda ulivyo unapenda cha jirani.Penda Chako mtanzania
 
tushanunua DREAMLINER
 
mkuu tumenunua sasa!
 
Hiyo Dreamliner ya KQ ni tamu ajabu yaani ni bomba mbaya, bado mpyaaa mpaka raha. Naona rubani ni mzungu sijui hawaamini kuwapa wakikuyu wenzao!!
Dreamliner KQ niliwahi kuipanda 2016 JKIA (NBO) - LHR raha kumoyo. Kioo unaweka tinted mwenyewe! Rahaaa!!
 
hivi nyie wakenya mbona mnapenda misifa ETHIOPIAN AIRLINE anazo hizo DREAMLINER zaidi ya 5 toka mwaka 2011 na hajitangazi, nyie leo ndo mmefikisha 3 basi kila sehemu DREAMLINER DREAMLINER!
Sisi Dreamliner moja tu,siku nzima watu waliambiwa wasifanye kazi wakaipokee Dreamliner
 
hivi nyie wakenya mbona mnapenda misifa ETHIOPIAN AIRLINE anazo hizo DREAMLINER zaidi ya 5 toka mwaka 2011 na hajitangazi, nyie leo ndo mmefikisha 3 basi kila sehemu DREAMLINER DREAMLINER!
Sisi Dreamliner moja tu,siku nzima watu waliambiwa wasifanye kazi wakaipokee Dreamliner
 
Mkuu vipi msimamo wako wa sasa kuhusu shirika letu la ndege???

Nasikia siku hizi hupendi kabisa Serikali kununua Ndege maana hazitusaidii wananchi wa kipato cha chini...!!
[emoji1] [emoji1] [emoji1] ..



Sent using Jamii Forums mobile app
 
hivi nyie wakenya mbona mnapenda misifa ETHIOPIAN AIRLINE anazo hizo DREAMLINER zaidi ya 5 toka mwaka 2011 na hajitangazi, nyie leo ndo mmefikisha 3 basi kila sehemu DREAMLINER DREAMLINER!
Unnecessary comment
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…