Kenya Airways drops in global aviation ranking

Kenya Airways drops in global aviation ranking

Ile slogan yao KQ 'the pride of Africa ' ni bure kabisa. Nakumbuka flight moja ya KQ ilichukua masaa saba kabla hawajawapatia abiria mlo wa aina yoyote ndani ya ndege ikiwa 32,000 ft angani.

Hivyo Skytrax ranking yao wameipendelea kidogo KQ. Maana kuna madudu mengi hili shirika la ndege wanakwaza abiria.

Endelea kutunga hadithi za vijiweni. Very poor and untruthful composition. Jaribu tena.
 
Endelea kutunga hadithi za vijiweni. Very poor and untruthful composition. Jaribu tena.

Kuna hii nyingine, baada ya masaa mengi kusubiri mlo, abiria jirani yangu anagaiwa chakula kilichoambatana na kamkate kadogo ka kawaida kuangalia vizuri anagundua panya ameshawahi kumega engo moja ya mkate, cabin crew anaitwa na kuoneshwa alama za mmego wa panya, samahani nyingi inatolewa kwa niaba ya KQ lawama nyingi kwa catering company.

Shuhuda zingine za madudu ya KQ hizi hapa source: Skytrax https://www.airlinequality.com/airline-reviews/kenya-airways/page/1/?sortby=post_date😀esc&pagesize=202#anchor664163
 
Imagine there are 195 Countries in the World na KQ imeshinda 115 countries, ATCL ni number 195[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hahahahaha, kwahiyo KQ yenye miaka 50 katika biashara imeacha kujilinganisha na ET na SAA badala yake inajilinganisha na ATCL yenye miaka 2?. Hahahahaha, hovyo kabisa ninyi.

ATCL isingeweza kuwekwa katika list, kwasababu haijaanza International routes, next year mtakua nyuma ya Uganda Airways, Failed state ninyi. Uganda wana ndege 2, KQ ndege 3, ATCL 8, Hahahahaha.
 
Endelea kutunga hadithi za vijiweni. Very poor and untruthful composition. Jaribu tena.

Punguza ushabiki, ni Kweli KQ wamekuwa wanafanya cancellation sana nowdays, yaani ukiwa na flight ya Asubuhi kuna 50% chances ukapelekwa jioni au Jioni ukasafirishwa Asubuhi, nasemea kwa flights za Dar - Nairobi ambazo ni more likely monopoly.
Nimeanza kusafiri na KQ since 2013 walikuwa very systematic, This year nimesafiri nao mara 3, kati ya hizi mara 2 nimebadilishiwa ndege.
KQ iko mismanaged sana nowadays.
 
Hahahahaha, kwahiyo KQ yenye miaka 50 katika biashara imeacha kujilinganisha na ET na SAA badala yake inajilinganisha na ATCL yenye miaka 2?. Hahahahaha, hovyo kabisa ninyi.

ATCL isingeweza kuwekwa katika list, kwasababu haijaanza International routes, next year mtakua nyuma ya Uganda Airways, Failed state ninyi. Uganda wana ndege 2, KQ ndege 3, ATCL 8, Hahahahaha.
😂😂😂😂😂😂😂
 
Kuna hii nyingine, baada ya masaa mengi kusubiri mlo, abiria jirani yangu anagaiwa chakula kilichoambatana na kamkate kadogo ka kawaida kuangalia vizuri anagundua panya ameshawahi kumega engo moja ya mkate, cabin crew anaitwa na kuoneshwa alama za mmego wa panya, samahani nyingi inatolewa kwa niaba ya KQ lawama nyingi kwa catering company.

Shuhuda zingine za madudu ya KQ hizi hapa source: Skytrax https://www.airlinequality.com/airline-reviews/kenya-airways/page/1/?sortby=post_date😀esc&pagesize=202#anchor664163

ANYTIME CANCELATION LIMITED. By the way you Midanganyikans don't have an airline you have one blue Wheeler
 
Punguza ushabiki, ni Kweli KQ wamekuwa wanafanya cancellation sana nowdays, yaani ukiwa na flight ya Asubuhi kuna 50% chances ukapelekwa jioni au Jioni ukasafirishwa Asubuhi, nasemea kwa flights za Dar - Nairobi ambazo ni more likely monopoly.
Nimeanza kusafiri na KQ since 2013 walikuwa very systematic, This year nimesafiri nao mara 3, kati ya hizi mara 2 nimebadilishiwa ndege.
KQ iko mismanaged sana nowadays.

Acha uwongo wewe hujapanda hata bus ya kwenda mkoani. Wewe ni mtu wa supu ya Pweza Dar is a slum
 
Ile slogan yao KQ 'the pride of Africa ' ni bure kabisa. Nakumbuka flight moja ya KQ ilichukua masaa saba kabla hawajawapatia abiria mlo wa aina yoyote ndani ya ndege ikiwa 32,000 ft angani.

Hivyo Skytrax ranking yao wameipendelea kidogo KQ. Maana kuna madudu mengi hili shirika la ndege wanakwaza abiria.
ndege ni mitumba hata wahudumu wanaonekana kama mitumba 😁
 
Unajua hizi flights za KQ baina ya NRB na Dsm au Kilimanjaro hawa jamaa wana mbinu chafu za makusudi kulikwaza soko la utalii Tanzania na vile naona wa-Tanzania wanaanza ku-share experience mbaya ya service za KQ labda watajirekebisha kuhusu hizi regional flights ukanda wa Afrika Mashariki.
 
Mi ile siku walivyo over book pale Amsterdam. Mpaka kesho sijawaelewa wali maanisha nini na kwa nini ilitokea? Uzuri nilikuwa sina tighter schedule, vinginevyo ingekula kwangu.
 
Unajua hizi flights za KQ baina ya NRB na Dsm au Kilimanjaro hawa jamaa wana mbinu chafu za makusudi kulikwaza soko la utalii Tanzania na vile naona wa-Tanzania wanaanza ku-share experience mbaya ya service za KQ labda watajirekebisha kuhusu hizi regional flights ukanda wa Afrika Mashariki.

Uzuri na Wadanganyika kumi tu wanaosafiri, Wengine wachache ni wale drug traffickers.
 
Back
Top Bottom