Ile slogan yao KQ 'the pride of Africa ' ni bure kabisa. Nakumbuka flight moja ya KQ ilichukua masaa saba kabla hawajawapatia abiria mlo wa aina yoyote ndani ya ndege ikiwa 32,000 ft angani.
Hivyo Skytrax ranking yao wameipendelea kidogo KQ. Maana kuna madudu mengi hili shirika la ndege wanakwaza abiria.
Endelea kutunga hadithi za vijiweni. Very poor and untruthful composition. Jaribu tena.
Hahahahaha, kwahiyo KQ yenye miaka 50 katika biashara imeacha kujilinganisha na ET na SAA badala yake inajilinganisha na ATCL yenye miaka 2?. Hahahahaha, hovyo kabisa ninyi.Imagine there are 195 Countries in the World na KQ imeshinda 115 countries, ATCL ni number 195[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kwa nini mnashabikia za wenyewe? Where is your dead atcl?
Inamaanisha nini BTW? Air Tanzania C... ? L....?
Endelea kutunga hadithi za vijiweni. Very poor and untruthful composition. Jaribu tena.
😂😂😂😂😂😂😂Hahahahaha, kwahiyo KQ yenye miaka 50 katika biashara imeacha kujilinganisha na ET na SAA badala yake inajilinganisha na ATCL yenye miaka 2?. Hahahahaha, hovyo kabisa ninyi.
ATCL isingeweza kuwekwa katika list, kwasababu haijaanza International routes, next year mtakua nyuma ya Uganda Airways, Failed state ninyi. Uganda wana ndege 2, KQ ndege 3, ATCL 8, Hahahahaha.
Kwahiyo ET ipo namba 44, SAA 46 na KQ namba 90, na bado huwa tunaambia KQ is the best Airline in Africa?.
Umenoa, inamaanisha Any Time Cancellation Ltd.(ATCL).Kwa nini mnashabikia za wenyewe?Where is your dead atcl?
Inamaanisha nini BTW? Air Tanzania C... ? L....?
Where do you guys come up with these names from...Nimeona ingine eti Struggling Gorge 😂😂Umenoa, inamaanisha Any Time Cancellation Ltd.(ATCL).
Kuna hii nyingine, baada ya masaa mengi kusubiri mlo, abiria jirani yangu anagaiwa chakula kilichoambatana na kamkate kadogo ka kawaida kuangalia vizuri anagundua panya ameshawahi kumega engo moja ya mkate, cabin crew anaitwa na kuoneshwa alama za mmego wa panya, samahani nyingi inatolewa kwa niaba ya KQ lawama nyingi kwa catering company.
Shuhuda zingine za madudu ya KQ hizi hapa source: Skytrax https://www.airlinequality.com/airline-reviews/kenya-airways/page/1/?sortby=post_date😀esc&pagesize=202#anchor664163
Punguza ushabiki, ni Kweli KQ wamekuwa wanafanya cancellation sana nowdays, yaani ukiwa na flight ya Asubuhi kuna 50% chances ukapelekwa jioni au Jioni ukasafirishwa Asubuhi, nasemea kwa flights za Dar - Nairobi ambazo ni more likely monopoly.
Nimeanza kusafiri na KQ since 2013 walikuwa very systematic, This year nimesafiri nao mara 3, kati ya hizi mara 2 nimebadilishiwa ndege.
KQ iko mismanaged sana nowadays.
[emoji23] [emoji23]Acha uwongo wewe hujapanda hata bus ya kwenda mkoani. Wewe ni mtu wa supu ya Pweza Dar is a slum
Awards world travelling hununuliwa!Kwahiyo ET ipo namba 44, SAA 46 na KQ namba 90, na bado huwa tunaambia KQ is the best Airline in Africa?.
Hawa jamaa kwa kupenda sifa za kijinga, sijawahi ona mfano wao.Awards world travelling hununuliwa!
Acha uwongo wewe hujapanda hata bus ya kwenda mkoani. Wewe ni mtu wa supu ya Pweza Dar is a slum
ndege ni mitumba hata wahudumu wanaonekana kama mitumba 😁Ile slogan yao KQ 'the pride of Africa ' ni bure kabisa. Nakumbuka flight moja ya KQ ilichukua masaa saba kabla hawajawapatia abiria mlo wa aina yoyote ndani ya ndege ikiwa 32,000 ft angani.
Hivyo Skytrax ranking yao wameipendelea kidogo KQ. Maana kuna madudu mengi hili shirika la ndege wanakwaza abiria.
Unajua hizi flights za KQ baina ya NRB na Dsm au Kilimanjaro hawa jamaa wana mbinu chafu za makusudi kulikwaza soko la utalii Tanzania na vile naona wa-Tanzania wanaanza ku-share experience mbaya ya service za KQ labda watajirekebisha kuhusu hizi regional flights ukanda wa Afrika Mashariki.