Kenya Airways Faces “Imminent Collapse”

Nguruwe wewe endelea kutapatapa
 
Mtangoja [emoji23][emoji23] mnaleta news interesting kila mwaka lakini tuko
 
Debt ni less than 700mn$ mnasema nini hii ......parliament could approve payment in a week just as a campaign strategy
 

Akili zakukuelewa huyomisifa ndio hana sasa!!
 
Wewe Jay acha kukurupuka hauwezi kamwe kufananisha TZ na Kenya Google list ya UN ya fragile states index uone TZ iko namba gani na Kenya mko wapi Nyerere alikuwa visionary sana kujenga strong unified Tanzania pamoja na kuwa kiuchumi mko mbele yetu kidogo mtaisoma namba very soon TZ hatuna ukabila mbaya sana kama mlio nao Kenya na unawatesa sana
 
Malizia na Father Kaiser.
 
sisi hatujiiti wastaarabu na wenye amani...😀😀😀watz wanasema eti wao ni wastaarabu...lol!! ilhali jamaa wao ako hali maututi Nairobi akitibiwa...🙁🙁so sad
Umetajiawa mliouwa,taja waliouwa TZ,Acha maneno mengi.
 

wewe huwa mara nyingi huna hoja. kazi ni kukurupuka tu.
from now onwards I will be referring you as wakukurupuka.
cc:
Mwanzi1
joto la jiwe
 
LCD mihela kidogo imewashinda kukwamua bombardier, Boeing za KQ mtawazena kweli?
 
Tatizo. Utajiri wa wazungu. Na utajiri wa wahindi. Sio sawa n utajiri wa waafrika. KLM na ATCL wapi Na wapi? Tumshukuru sana Mholanzi....
 
Picha za trein ziko wapi??? Evidence muhimu sana wakati wa kujadili such huge projects, otherwise itakuwa ni porojo tupu ama a white elephant... Actions speak louder than words.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…