Kenya Airways Faces “Imminent Collapse”

Kenya Airways Faces “Imminent Collapse”

15-51-12-DLoYYCW.jpg
15-51-36-34227209504_9b095c84be_b.jpg
15-40-11-DSC02603_zpstoqab9qk.jpg
 
Dont wrestle pigs here bro, that debt i assure you will be restructured , there is a meeting between kq, the banks and treasury next week on the issue, word is the cs will be very hard on the ' banks' . It is either they tow the line ama mambo will be slippery for them.
Nguruwe wewe endelea kutapatapa
 
Mtangoja [emoji23][emoji23] mnaleta news interesting kila mwaka lakini tuko
 
Debt ni less than 700mn$ mnasema nini hii ......parliament could approve payment in a week just as a campaign strategy
 
Yaani hata huwezi kuelewa lengo la Kenya ni lipi katika project nyingi, ukiondoa Galana irrigation project, mingine yote sioni maana yake, wanataka kuoneka kwamba wanafanya kwa sifa lakini ukijiuliza hasa kwanini wanajenga barabara ya Mombasa Nairobi kwa kiwango hicho, wakati SGR ipo hupati jibu, wengeweza tu kuikarabati kwa nusu ya pesa waliyopanga na pesa ingine ikaenda kwenye miradi ya maji kwa mfano, Kenya inatatizo kubwa sana la upatikanaji wa maji kwa matumizi ya binadamu, hadi leo Nairobi kuna mgao wa maji, waligundua maji mengi sana dhini ya ardhi huko Turkana, la ajabu wanajenga miradi miwili identical, SGR na hiyo super high way Mombasa Nairobi, that is purely duplication of projects

Akili zakukuelewa huyomisifa ndio hana sasa!!
 
Wewe Jay acha kukurupuka hauwezi kamwe kufananisha TZ na Kenya Google list ya UN ya fragile states index uone TZ iko namba gani na Kenya mko wapi Nyerere alikuwa visionary sana kujenga strong unified Tanzania pamoja na kuwa kiuchumi mko mbele yetu kidogo mtaisoma namba very soon TZ hatuna ukabila mbaya sana kama mlio nao Kenya na unawatesa sana
 
Ninyi wangapi mliowauwa, heri lisu bado mzima, anza kuhesabu kuanzia Tom Mboya, Pio Gama Pinto, Robert Aoko, na umalizie kwa Msando na jana mwanafunzi wa University of Nairobi, achilia mbali Makaburi kule Mombasa na Juma Rogo, sio chini ya watu elfu 30, wewe nitajie watu wawili tu walioliwa kwa risasi Tanzania
Malizia na Father Kaiser.
 
sisi hatujiiti wastaarabu na wenye amani...😀😀😀watz wanasema eti wao ni wastaarabu...lol!! ilhali jamaa wao ako hali maututi Nairobi akitibiwa...🙁🙁so sad
Umetajiawa mliouwa,taja waliouwa TZ,Acha maneno mengi.
 
wacha kujitetea...mtindo ni ule ule...mwaga hapa nimwage nami pia....next time be4 ulete habari za kenya airways, hakikisha hizo bombadier zenu hazina deni na ndizo bora kabisa Afrika nzima..otherwise, nitatafta uchafu nije nami pia nimwage hapa tufanane...😀😀😀

wewe huwa mara nyingi huna hoja. kazi ni kukurupuka tu.
from now onwards I will be referring you as wakukurupuka.
cc:
Mwanzi1
joto la jiwe
 
LCD mihela kidogo imewashinda kukwamua bombardier, Boeing za KQ mtawazena kweli?
 
Tatizo. Utajiri wa wazungu. Na utajiri wa wahindi. Sio sawa n utajiri wa waafrika. KLM na ATCL wapi Na wapi? Tumshukuru sana Mholanzi....
 
Picha za trein ziko wapi??? Evidence muhimu sana wakati wa kujadili such huge projects, otherwise itakuwa ni porojo tupu ama a white elephant... Actions speak louder than words.
 
Back
Top Bottom