Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nguruwe wewe endelea kutapatapaDont wrestle pigs here bro, that debt i assure you will be restructured , there is a meeting between kq, the banks and treasury next week on the issue, word is the cs will be very hard on the ' banks' . It is either they tow the line ama mambo will be slippery for them.
wafaa wajue kenya is great kwanza umeona venye JAY amewafanya wakatoa povuMtangoja [emoji23][emoji23] mnaleta news interesting kila mwaka lakini tuko
Lol unaji cc
Leased planes are not yours...idiotsTanzania mitungi ya chang'aa 😱😱😱😀😀😀
![]()
![]()
Kenya planes
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Yaani hata huwezi kuelewa lengo la Kenya ni lipi katika project nyingi, ukiondoa Galana irrigation project, mingine yote sioni maana yake, wanataka kuoneka kwamba wanafanya kwa sifa lakini ukijiuliza hasa kwanini wanajenga barabara ya Mombasa Nairobi kwa kiwango hicho, wakati SGR ipo hupati jibu, wengeweza tu kuikarabati kwa nusu ya pesa waliyopanga na pesa ingine ikaenda kwenye miradi ya maji kwa mfano, Kenya inatatizo kubwa sana la upatikanaji wa maji kwa matumizi ya binadamu, hadi leo Nairobi kuna mgao wa maji, waligundua maji mengi sana dhini ya ardhi huko Turkana, la ajabu wanajenga miradi miwili identical, SGR na hiyo super high way Mombasa Nairobi, that is purely duplication of projects
Kenya wako vizuri sana kwenye usafiri wa anga na mwakani wanapewa kibali cha kutoka kenye vs marekaniTanzania mitungi ya chang'aa 😱😱😱😀😀😀
![]()
![]()
Kenya planes
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
And assassination of Ouko ni ustaarabu uliofanyika usiku mnene ?eti.ustaarabu wa kupiga Lissu risasi mchana peupe...sio??😀😀 mdaganye mwingine...sio jirani yako
Malizia na Father Kaiser.Ninyi wangapi mliowauwa, heri lisu bado mzima, anza kuhesabu kuanzia Tom Mboya, Pio Gama Pinto, Robert Aoko, na umalizie kwa Msando na jana mwanafunzi wa University of Nairobi, achilia mbali Makaburi kule Mombasa na Juma Rogo, sio chini ya watu elfu 30, wewe nitajie watu wawili tu walioliwa kwa risasi Tanzania
Umetajiawa mliouwa,taja waliouwa TZ,Acha maneno mengi.sisi hatujiiti wastaarabu na wenye amani...😀😀😀watz wanasema eti wao ni wastaarabu...lol!! ilhali jamaa wao ako hali maututi Nairobi akitibiwa...🙁🙁so sad
wacha kujitetea...mtindo ni ule ule...mwaga hapa nimwage nami pia....next time be4 ulete habari za kenya airways, hakikisha hizo bombadier zenu hazina deni na ndizo bora kabisa Afrika nzima..otherwise, nitatafta uchafu nije nami pia nimwage hapa tufanane...😀😀😀
Hata mimi inanishangaza sana, LCD inayoweza kutoa $3.1B kujenga morden electrical train, wakati the biggest economy imeshindwa hata kugharimia kilometer moja ya old diesel train, haya ni maajabu ya AfrikaLCD mihela kidogo imewashinda kukwamua bombardier, Boeing za KQ mtawazena kweli?