65 billion shillings in 3 days zinaweza komboa bombardier mbili...tafakari hayo.Unaanza kuhamisha magoli, ngoja na mimi nihamishe langu. Uhuru Kenyatta alikuwa waziri wa fedha wakati KQ inakopa kuliko uwezo wake. Leo Uhuru huyo huyo amepandishwa cheo na kuwa Rais, sasa hivi amewaingiza wakenya wote kwenye madeni yasiyo lipika. Huku anakuja kusema EAC wote njooni bila visa mfanye kazi mtusaidie kulipa madeni. SMH
Hiyo sio hela ya mkopo to brag about, one little hicup hela yote inarudi kwa investors. Stoke and shares ni nzuri pale tu biashara inapofanya vizuri, lakini KQ haijafanya vizuri since 2012.65 billion shillings in 3 days zinaweza komboa bombardier mbili...tafakari hayo.
Mkutano wa mnanda unawahusu wenye Ng'ombe. Je wapi ndege zenu?Hiyo sio hela ya mkopo to brag about, one little hicup hela yote inarudi kwa investors. Stoke and shares ni nzuri pale tu biashara inapofanya vizuri, lakini KQ haijafanya vizuri since 2012.
Homework homework homework, ndege zetu zinamalizika kujengwa kabla ya kuanza flight test. June sio mbaliMkutano wa mnanda unawahusu wenye Ng'ombe. Je wapi ndege zenu?
Hata Bagamoyo haikuwa mbali.Homework homework homework, ndege zetu zinamalizika kujengwa kabla ya kuanza flight test. June sio mbali
Hatukurupuki, kwanini tujibebeshe mzigo wa deni $10B ya bagamoyo wakati kuna plan B ya kualika investors wakagharimia wenyewe. Hatubebi tembo mweupe huku.Hata Bagamoyo haikuwa mbali.
Sa Bombardier mtaikomboa June ama July?Hatukurupuki, kwanini tujibebeshe mzigo wa deni $10B ya bagamoyo wakati kuna plan B ya kualika investors wakagharimia wenyewe. Hatubebi tembo mweupe huku.
Huu sasa ni ushabiki wa mwendo kasi.Sa Bombardier mtaikomboa June ama July?
Sindano imekuingia hadi kwa mfupa.Huu sasa ni ushabiki wa mwendo kasi.
Wala hujanipunguzia kitu, sasa sasa umenitowa kwenye article niliyokuwa naisoma, labda itakusaidia na weweSindano imekuingia hadi kwa mfupa.
Natumai you've learnt that Kenya leads EA economically. Sasa kunywa kopo la maji ulale.Wala hujanipunguzia kitu, sasa sasa umenitowa kwenye article niliyokuwa naisoma, labda itakusaidia na wewe
When You Learn, Your Brain Swells with New Cells — Then It Kills Them
Kenya ina lead kwa kipi, au ina lead nani? Leo hii Kenya ikopotea from the face of the earth, Tanzania itaendelea kuwepo. Tutaendelea kula, kunywa na kuishi like nothing had happened zaidi ya kupoteza section ya Kenya hapa JF.Natumai you've learnt that Kenya leads EA economically. Sasa kunywa kopo la maji ulale.
What are you saying brother frothing at the mouth? Inaonekana usingizi unakusumbua na akili yako imechoka.Kenya ina lead kwa kipi, au ina lead nani? Leo hii Kenya ikopotea from the face of the earth, Tanzania itaendelea kuwepo. Tutaendelea kula, kunywa na kuishi like nothing had happened zaidi ya kupoteza section ya Kenya hapa JF.