Mlifaa mtulie na kuandaa mikakati ya jinsi gani mtaendesha shughuli ya biashara ya ndege, sio kukurupuka bila kuelewa wapi pa kuanzia na wapi pa kutokea.
Rabbish yako peleka kibera huko,mnakodanganya na kujimilikisha vitu visivyo vya kwenu
Kama hapa walivyomuwahi profesa jAhaaa haaa haaa
Umenikumbusha kipindi tuko watoto tunawaiana kusema langu magari ya watu yanayopita barabarani.
Eti langu hili hili.
Yaani ndiyo jamaa ZETU walivyo. Walivyoiona tu Airbus yetu wakaanza kusema yangu hii yangu hii.
Ahaaa haaa haaa
Kaka uache uongo. Si kweli kuwa wanaifanyia testing ili wainunue ndege ya atcl bali ni part ya makubaliano na airbus .
Wala hayazwi. Unaita uchaf wakati egypt wame order 14.Hizi taarifa zikitokea kuwa kweli nitawaona ovyo sana viongozi wa Kenya, haya madude Wabongo waliyanunua kwa mihemko wapambane na hali yao huko huko hatutaki uchafu.
Yeah ni mpya. Halaf ni model ambayo ni tanzania ndio nchi ya kwanza kumiliki. Hakuna ncgi nyingine africa ambayo ime receive ndege kama hiyo.Mbona zinatua ndege sana kila siku hazisemwi, na sio mara ya kwanza ndege yenu kutua kwetu, ila hii inayosemwa semwa itakua ina kitu. Mbaki nayo huko hatuitaki, kwetu sio dampo la kutupa kila kinachowashinda kwa mlivyo wavivu wa kutupwa, kila mnachogusa kinaangukia pua.
Hamuna mipango, mnawehuka tu...
Haya nyie wenye mikakati mmefika wapi? Wananchi wenu wanachakula?Mlifaa mtulie na kuandaa mikakati ya jinsi gani mtaendesha shughuli ya biashara ya ndege, sio kukurupuka bila kuelewa wapi pa kuanzia na wapi pa kutokea.
Kama hapa walivyomuwahi profesa jView attachment 1060016
Rabbish yako peleka kibera huko,mnakodanganya na kujimilikisha vitu visivyo vya kwenuView attachment 1060011