Hapa target ni kupata uwanja ndo mtumie kupata faida
Na acha kupotosha watu kwamba kq inalipa 400mil kwa government
Ethiopia airways ambayo ndo the only profitable major African carrier in sub sahara Africa inafanya hivyo, Ndege zote zinazotua Ethiopia Inalipa kutumia Bole airport na pa wakinunua mafuta, hio faida yote inaenda kwa kampuni ya Ethiopia Airways.....
Alafumara nyengine kama hujui uliza kabla ya kuropokwa... Hivi unajua KQ hukusanya $1.2B kutokana na biashara yake ya kusafirisha watu na mizigo???? Hata ukiondoa hela ya kulipia leasing, mishahara, mafuta bado ni hela nyingi sana zinafaa kusalia kama faida..... Hii ni kwasababu hela nyingi sana hutumika kulipa Serekali.... KQ wakiacha kulipa kodi ya kutumia JKIA na kodi ya kuagizia spare arts, watabaki na faida kubwa sana
---------------------------------------
And in a revelation meant to anchor its role as the key tenant at Nairobi’s Jomo Kenyatta International Airport,
KQ disclosed that it pays $650 million annually to the Kenya Airports Authority—for use of the airport as its hub.
Landing fees
That amount does not include the $160 million it pays KAA in annual landing fees, $4 million in building and utilities rents and $2 million in concession fees.
“Furthermore, KQ pays KAA the Airport Pax Service Charge [APSC] that is dependent on the number of passengers departing from Kenya with the airline.
“In KQ’s case, that fee amounts to $430 million annually, accounting for approximately 50 per cent of JKIA’s total revenue from APSC per year,” the airline says in its report to parliament.
KQ has partly argued that should its proposal to run JKIA stand, travellers would see a drop in ticket costs in line with the reduction in the service charge, making it competitive in its operating hub.
But the revelation also means that KQ accounts for half of JKIA revenues, and KAA would be the biggest casualty should the heavy debt burden bring the airline down.
KQ has in the past two years revealed that it spent $170 million to clear its tax obligations with Kenya Revenue Authority, but carries security guarantees from Exim bank for six of its Boeing 787 Dreamliner’s, one Boeing 77-300 aircraft and one GEnx Engine.
Servicing loans takes up to 11pc of operating costs, against a global average of 5pc.
www.theeastafrican.co.ke