mwaswast
JF-Expert Member
- May 12, 2014
- 12,780
- 6,480
KQ Ni mojawapo ya mashirika makubwa ya Ndege hapa Afrika na pia ndio shirika kubwa katika jumuia ya Afrika Mashariki. Ni kitega uchumi na pia muajiri mkubwa hapa Nchini Kenya haswa kwa marubani na wahudumu Kama vile cabin crew na pia wapakiaji mizigo.
Tumeaminishiwa na kina Geza Ulole na joto la jiwe kuwa kule kwao ATCL Ni ya Watanzania Ila ikifika Ni kuajiri Watanzania inakuwa si hivyo 😂😂😂😂
Hii huwezi wapata wamepost hapa Ila mwasiti freelance journalist (MFJ) mwenyewe nilipata nafasi ya kutembea mle na kujionea Haya;
ATCL imeajiri Wazungu, wachina na wakorea kwenye cabin crew Wala sio watanzania 😂😂😂
Tumeaminishiwa na kina Geza Ulole na joto la jiwe kuwa kule kwao ATCL Ni ya Watanzania Ila ikifika Ni kuajiri Watanzania inakuwa si hivyo 😂😂😂😂
Hii huwezi wapata wamepost hapa Ila mwasiti freelance journalist (MFJ) mwenyewe nilipata nafasi ya kutembea mle na kujionea Haya;
ATCL imeajiri Wazungu, wachina na wakorea kwenye cabin crew Wala sio watanzania 😂😂😂