Kenya: Ajali ya Basi linalomilikiwa na kampuni ya Western Express yaua watu 50

Hiyo si wamesema Cape Verde hakuna viwanja vyenye sifa za kutua?
Babu hata Air Tanzania haiendi hizo sababu walizotoa ni danganya Toto tu shida ni leseni ya anga kimataifa japo ukweli kwao ni sumu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Babu hata Air Tanzania haiendi hizo sababu walizotoa ni danganya Toto tu shida ni leseni ya anga kimataifa japo ukweli kwao ni sumu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ewaaaaa.... unashangaa waziri wa uchukuzi kapiga kimya... waziri wa michezo ndo anabwabwaja eti kule hakuna viwanja vya kutua.... wonders shall never end
 
Si unajua uongo unataka ujasiri
Ewaaaaa.... unashangaa waziri wa uchukuzi kapiga kimya... waziri wa michezo ndo anabwabwaja eti kule hakuna viwanja vya kutua.... wonders shall never end
 
Poleni Sana Ndugu Zetu Kenya Kwa Msiba
 

Over 49 die in Fort Ternan-Kericho

Forty-nine people have died after a bus that was travelling from Nairobi to Kisumu crashed at Fort Ternan on Londiani-Muhuroni Road, Kericho County, Police Commander, James Mogera has said. The 67-seater bus is said to have veered off the road while descending a steep slope. The bus then hit a guardrail, rolled and plunged down about 20 meters. Eyewitnesses said the accident happened at about 5am.
 
Sijui tutawapa nini rafiki na ndugu zetu hawa..wao kila janga wapo mstari wa mbele kutusaidia.
Nakumbuka tetemeko then currently MV Nyerere walitoa 125M lkn sisi tunaweza piga kimya hivi hivi hata pole ya maandishi tusitoe.
Poleni sana Wakenya
 
oooooooooohhhR.I.P for those who died
 
Poleni wote waliopoteza wapendwa wao.

lakini kuna kitu kinatakiwa kifanyike. sasa tunakuwa kama kuku tukio likitokea tunashangaa halafu baadaye tunasahau.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…