Kenya: Akamatwa kwa kuanzisha kituo cha polisi bandia

Kenya: Akamatwa kwa kuanzisha kituo cha polisi bandia

KING MIDAS

JF-Expert Member
Joined
Dec 1, 2010
Posts
8,589
Reaction score
16,936
Polisi nchini Kenya wameanza uchunguzi kufuatia kukamatwa kwa Collins Leitich, anayejulikana pia kama Chepkulei, kwa tuhuma za kuanzisha kituo cha polisi bandia bila idhini ya Huduma ya Kitaifa ya Polisi (NPS).

Inadaiwa kuwa Leitich alipaka jengo hilo rangi rasmi za polisi, akilifanya lionekane kama kituo halali cha usalama. Wakazi wa eneo hilo walishangazwa na taarifa hizo, wakidhani ni mpango halali wa kuboresha usalama wao.


Kwa sasa, polisi wanasema bado hawajajua nia yake, lakini wamewahakikishia wananchi kuwa uchunguzi unaendelea na hatua kali zitachukuliwa dhidi ya yeyote atakayehusika.
 
Dunia Ina mambo

Kama yapi basi yameanxia Kenya

Huko Kenya Mwanajeshi MMOJA akishirikiana na polisi wawili wamekamatwa kwa kujenga kituo cha polisi eneo tajwa HAPO juu


Vijana BAADA ya kukamatwa walikiri hiki kituo kina miezi sita KWENDA WA sana

Na wananchi wamekiri kumekuwa MSAADA kweli kuliko vituon vyote wanavyopenda vya polisi maeneo ya karibu

SWALA kuu JE

Vituo VYA polisi vibinafsishwe

Wakiongea kwa upole vijana wamekiri waliona eneo lao kama kinateseka sana na usalama WA ulinzi na pia kila wakipeleka WATUHUMIWA vituoni wanatoa pesa WANATOKA


Swali
Mbinguni wanataka KWENDA Hawa mabwana ama........

Mm na wewe HATUNA JIBU fwatilia kesi yao at ur own bundle
 
Watu wanaanzisha serikali yao, wamechoka kusimamiwa
 
Huko si ndiko alikoibuka Mungu mwenye wake wengi na baadaye Yesu aliyeomba michango ya bati za kuezekea jengo?
 
Polisi nchini Kenya wameanza uchunguzi kufuatia kukamatwa kwa Collins Leitich, anayejulikana pia kama Chepkulei, kwa tuhuma za kuanzisha kituo cha polisi bandia bila idhini ya Huduma ya Kitaifa ya Polisi (NPS).

Inadaiwa kuwa Leitich alipaka jengo hilo rangi rasmi za polisi, akilifanya lionekane kama kituo halali cha usalama. Wakazi wa eneo hilo walishangazwa na taarifa hizo, wakidhani ni mpango halali wa kuboresha usalama wao.


Kwa sasa, polisi wanasema bado hawajajua nia yake, lakini wamewahakikishia wananchi kuwa uchunguzi unaendelea na hatua kali zitachukuliwa dhidi ya yeyote atakayehusika.
Nia WANAJUA waache uhuni
 
Back
Top Bottom