Magufuli kaingiaje hapoo[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Mzee wa watu mnamuonea sanaMugufuli must go hii nchi ishamshinda
Huyo ndio kajulikana je washafanya hivyo Kwa wangapi? Kenya ni kichwa cha mwendawazimu.Mgonjwa wa Covid-19 aliyedhaniwa kafa aliviringwa kwenye PPE na taratibu zote za mazishi zikafanyika. Ni wakati mwili uko kwenye jeneza tayari kwa maziko....wafiwa wakagundua jeneza linatetema...Shughuli ya mazishi ikaahirishwa jeneza likafunguliwa na kukutwa marehemu bado anapumua..Tazama video.
View attachment 1546971
Jr[emoji769]
Maiti inakamuliwa vipi?Ingekua ile dini nyingine angeshakufa wakati wakukamuliwa