Kenya: Almunusura mahututi wa COVID-19 azikwe hai

Duh kuna watu wana roho mbaya/ngumu huu msiba umekosa emotions kabisa tofauti na misiba ya kibongo full vilio.

Yaani ndugu jamaa wa marehemu wanaangalia wakiwa mbali hawana msaada wowote, ingekua ni nyumbani kwetu kungekuwa na patashika hapo, kwanza hao madaktari na police wangekua marehemu hapo hapo.

Huo umati ungegawana majukumu, wa kuhangaika na ndugu yetu na wa kuhangaika na hao waliosema amekufa.
 
Failed state Chinese class one [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Huyo ndio kajulikana je washafanya hivyo Kwa wangapi? Kenya ni kichwa cha mwendawazimu.
 
[emoji38] [emoji38] [emoji38] kwahiyo madaktari wa middle county walithibitisha huyu mgonjwa kafariki. Sijui ule mgomo umeisha au ndio unaendelea hivi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…