Kenya: Alshabab yaua POLISI 7 wa Kenya, mmoja hajulikani alipo

Kenya: Alshabab yaua POLISI 7 wa Kenya, mmoja hajulikani alipo

Tunachotaka kuona na wananchi wakenya wakiishi kwa amani bila kuuliwa kama ilivyokua kabla ya KDF kwenda Somalia, hayo mengine hatuyahitaji.
Hata nyinyi hamngekuwa na amani Kama hatungeenda somalia .kumbuka alshabaab waliwahi kufanya mashambulizi hadi Kampala .tungewapatia muda kidogo wangepiga hodi pale Arusha ama Daresalaam.
Sisi tumekuwa kama buffer zone Kati yenu na somalia ,usisahau pia Kuna watanzania wengi walikuwa wamejiunga na alshabaab kipindi kile ambacho alshabaab ilikua na influence hata ya ku recruit foreign fighters.
 
Magari yalikuwa APC ila hayakuwa mine resistant (MRAPs)
Sasa wewe bwege kumbe ulijua magari yanayo nunuliwa yanamapungufu kwanini usinge enda Kwa kdf kuwapatia hiyo elimu sahihi ya magari ya kununua ili wasinunue hizo death trap vieko inaelekea wewe umewazidi akili maafisa wote wa kdf kwanini wasikuchukue kuwashauri vita ni mpangilio mzuri wa kununua siraha pia
 
Sawa mlitaka kuuproot ndio but y msingefanya upelelezi wa kutosha mjue huko somalia hao jamaa organizers wao kina nani???.. Saa nyie mnadhani kwa kuua hao wapiganaji bila kujua viongozi wao kuwa vita vtaisha??? Kaz mnayo asee ka na majenerali wenu ndio wanawaza ka nyie hum ndani aseee yajayo yanafurahisha
Sikuwakenya wakijua aliye nyuma ya alshababu lazima wajione mafara ndiyo watajua kwanini tz tulikataa kupeleka majeshi somalia msemo wa kikulacho kinguoni mwako unausika hapo USA na Alshababu ni Ndugu moja tengeneza tatizo kisha lishangae ilo tatizo kama ukulitengeneza wewe = USA
 
Alshabaab was at it's strongest and was gaining more territory and we had to uproot the problem from it's source
View attachment 1129358
You haven't uprooted it yet, looks like the root is deeper for you guys to handle, de more hilarious thing is that you guys aint pro somalia's government as well, wamewapeleka mahakamani, as per your map which mentions Ethiopia and Somali and al shabab.

Rest In Peace to the terror deceased.
 
1129496
 
Hata nyinyi hamngekuwa na amani Kama hatungeenda somalia .kumbuka alshabaab waliwahi kufanya mashambulizi hadi Kampala .tungewapatia muda kidogo wangepiga hodi pale Arusha ama Daresalaam.
Sisi tumekuwa kama buffer zone Kati yenu na somalia ,usisahau pia Kuna watanzania wengi walikuwa wamejiunga na alshabaab kipindi kile ambacho alshabaab ilikua na influence hata ya ku recruit foreign fighters.
Acha Maneno mengi, Ukweli ni kwamba kabla ya KDF kwenda Somalia, wakenya walikua hawauliwi wala kushambuliwa kwa kiwango hiki, kitendo cha kwenda Somalia kimekua ni hasara kubwa kwa Kenya. Alshabab walikua wakivuka mpaka kuwateka watalii ili kuitisha pesa, hawa kuwa wakiwashambulia wakenya kwa kiasi hiki. Mlikurupuka lazima mkubaliane na huo ukweli, acha kuendelea kutetea maamuzi ya hovyo ya viongozi wenu.
 
Tulienda Somalia kwa sababu tourists walikuwa wanatekwa nyara pwani ya Kenya. Nchi za nje zikatoa tahadhari kuwa wananchi wao wasije Kenya. Tulienda huko kwa sababu maalum ya kuwatandika hao mashetani na mpaka sasa, tunabakia huko kama gundi. KDF kazi yao ni kupigana na hawajalalamika, sijui wewe unalalamika kwa nini? Una ndugu au dada KDF?
Kwahiyo mtapigana mpaka lini?
 
Tulienda Somalia kwa sababu tourists walikuwa wanatekwa nyara pwani ya Kenya. Nchi za nje zikatoa tahadhari kuwa wananchi wao wasije Kenya. Tulienda huko kwa sababu maalum ya kuwatandika hao mashetani na mpaka sasa, tunabakia huko kama gundi. KDF kazi yao ni kupigana na hawajalalamika, sijui wewe unalalamika kwa nini? Una ndugu au dada KDF?
Sasa kwanini mkikufa mnaruhusu vyombo vitangaze huo uozo wenu? Mikia sana
 
Acha Maneno mengi, Ukweli ni kwamba kabla ya KDF kwenda Somalia, wakenya walikua hawauliwi wala kushambuliwa kwa kiwango hiki, kitendo cha kwenda Somalia kimekua ni hasara kubwa kwa Kenya. Alshabab walikua wakivuka mpaka kuwateka watalii ili kuitisha pesa, hawa kuwa wakiwashambulia wakenya kwa kiasi hiki. Mlikurupuka lazima mkubaliane na huo ukweli, acha kuendelea kutetea maamuzi ya hovyo ya viongozi wenu.
Toursits and ships were hijacked for ransoms.
Why did alshabaab need all that money and what was their real intention after getting the money ?...
Our decision to go into somalia was informed by intelligence not those stories you pick from newspaper articles .
 
Acha Maneno mengi, Ukweli ni kwamba kabla ya KDF kwenda Somalia, wakenya walikua hawauliwi wala kushambuliwa kwa kiwango hiki, kitendo cha kwenda Somalia kimekua ni hasara kubwa kwa Kenya. Alshabab walikua wakivuka mpaka kuwateka watalii ili kuitisha pesa, hawa kuwa wakiwashambulia wakenya kwa kiasi hiki. Mlikurupuka lazima mkubaliane na huo ukweli, acha kuendelea kutetea maamuzi ya hovyo ya viongozi wenu.
Right now we would be fighting a bigger war which Tanzania would get involved too.
 
Even before kdf went to somalia.
North Eastern Kenya was not safe they had what was popularly known as shifta bandits that reigned terror on innocent Travellers.
Kubalini kujifunza bwana, shifta bandits kitu gani waliwahi hata kuvamia choo cha Westgate?
 
Toursits and ships were hijacked for ransoms.
Why did alshabaab need all that money and what was their real intention after getting the money ?...
Our decision to go into somalia was informed by intelligence not those stories you pick from newspaper articles .
So you decided to save ships in exchange with Kenyan lives and security?. That's why you are ranked as a failed state.
 
Toursits and ships were hijacked for ransoms.
Why did alshabaab need all that money and what was their real intention after getting the money ?...
Our decision to go into somalia was informed by intelligence not those stories you pick from newspaper articles .
And then that damn intelligency failed to speculate more than three massive attacks.
 
Right now we would be fighting a bigger war which Tanzania would get involved too.
Do not assume, before KDF went into Somalia, security in Kenya was far away better than now, nor Kenyan life was lost, by today, more than 2500 Kenyan lives has been wasted because of your useless leaders' decisions.
 
Why cant you guys see the big picture ?
by 2010 Alshabaab through the ports of kismayu and babera used to earn more than £1.5 million a month to buy weapons and pay fighters by controlling the export of charcoal to the Gulf and the import of untaxed sugar to smuggle to east Africa.
Fighters used to be paid handsomely and that's why the group attracted so many foreign fighters including those from Tanzania.
The whole of east Africa was at the time sitting on a ' ticking time bomb' .

So you decided to save ships in exchange with Kenyan lives and security?. That's why you are ranked as a failed state.
 
Back
Top Bottom