Hata nyinyi hamngekuwa na amani Kama hatungeenda somalia .kumbuka alshabaab waliwahi kufanya mashambulizi hadi Kampala .tungewapatia muda kidogo wangepiga hodi pale Arusha ama Daresalaam.Tunachotaka kuona na wananchi wakenya wakiishi kwa amani bila kuuliwa kama ilivyokua kabla ya KDF kwenda Somalia, hayo mengine hatuyahitaji.
Sasa wewe bwege kumbe ulijua magari yanayo nunuliwa yanamapungufu kwanini usinge enda Kwa kdf kuwapatia hiyo elimu sahihi ya magari ya kununua ili wasinunue hizo death trap vieko inaelekea wewe umewazidi akili maafisa wote wa kdf kwanini wasikuchukue kuwashauri vita ni mpangilio mzuri wa kununua siraha piaMagari yalikuwa APC ila hayakuwa mine resistant (MRAPs)
Tuna walinda lazima tuwe na bajeti kubwa.Wao wamekalia kujisifu eti wana bajeti kubwa kuliko.
Sikuwakenya wakijua aliye nyuma ya alshababu lazima wajione mafara ndiyo watajua kwanini tz tulikataa kupeleka majeshi somalia msemo wa kikulacho kinguoni mwako unausika hapo USA na Alshababu ni Ndugu moja tengeneza tatizo kisha lishangae ilo tatizo kama ukulitengeneza wewe = USASawa mlitaka kuuproot ndio but y msingefanya upelelezi wa kutosha mjue huko somalia hao jamaa organizers wao kina nani???.. Saa nyie mnadhani kwa kuua hao wapiganaji bila kujua viongozi wao kuwa vita vtaisha??? Kaz mnayo asee ka na majenerali wenu ndio wanawaza ka nyie hum ndani aseee yajayo yanafurahisha
You haven't uprooted it yet, looks like the root is deeper for you guys to handle, de more hilarious thing is that you guys aint pro somalia's government as well, wamewapeleka mahakamani, as per your map which mentions Ethiopia and Somali and al shabab.Alshabaab was at it's strongest and was gaining more territory and we had to uproot the problem from it's source
View attachment 1129358
This was 2010 an year before kdf went into somalia
Acha Maneno mengi, Ukweli ni kwamba kabla ya KDF kwenda Somalia, wakenya walikua hawauliwi wala kushambuliwa kwa kiwango hiki, kitendo cha kwenda Somalia kimekua ni hasara kubwa kwa Kenya. Alshabab walikua wakivuka mpaka kuwateka watalii ili kuitisha pesa, hawa kuwa wakiwashambulia wakenya kwa kiasi hiki. Mlikurupuka lazima mkubaliane na huo ukweli, acha kuendelea kutetea maamuzi ya hovyo ya viongozi wenu.Hata nyinyi hamngekuwa na amani Kama hatungeenda somalia .kumbuka alshabaab waliwahi kufanya mashambulizi hadi Kampala .tungewapatia muda kidogo wangepiga hodi pale Arusha ama Daresalaam.
Sisi tumekuwa kama buffer zone Kati yenu na somalia ,usisahau pia Kuna watanzania wengi walikuwa wamejiunga na alshabaab kipindi kile ambacho alshabaab ilikua na influence hata ya ku recruit foreign fighters.
Kwahiyo mtapigana mpaka lini?Tulienda Somalia kwa sababu tourists walikuwa wanatekwa nyara pwani ya Kenya. Nchi za nje zikatoa tahadhari kuwa wananchi wao wasije Kenya. Tulienda huko kwa sababu maalum ya kuwatandika hao mashetani na mpaka sasa, tunabakia huko kama gundi. KDF kazi yao ni kupigana na hawajalalamika, sijui wewe unalalamika kwa nini? Una ndugu au dada KDF?
Sasa kwanini mkikufa mnaruhusu vyombo vitangaze huo uozo wenu? Mikia sanaTulienda Somalia kwa sababu tourists walikuwa wanatekwa nyara pwani ya Kenya. Nchi za nje zikatoa tahadhari kuwa wananchi wao wasije Kenya. Tulienda huko kwa sababu maalum ya kuwatandika hao mashetani na mpaka sasa, tunabakia huko kama gundi. KDF kazi yao ni kupigana na hawajalalamika, sijui wewe unalalamika kwa nini? Una ndugu au dada KDF?
Upuuzi mtupu.Tuna walinda lazima tuwe na bajeti kubwa.
Toursits and ships were hijacked for ransoms.Acha Maneno mengi, Ukweli ni kwamba kabla ya KDF kwenda Somalia, wakenya walikua hawauliwi wala kushambuliwa kwa kiwango hiki, kitendo cha kwenda Somalia kimekua ni hasara kubwa kwa Kenya. Alshabab walikua wakivuka mpaka kuwateka watalii ili kuitisha pesa, hawa kuwa wakiwashambulia wakenya kwa kiasi hiki. Mlikurupuka lazima mkubaliane na huo ukweli, acha kuendelea kutetea maamuzi ya hovyo ya viongozi wenu.
Right now we would be fighting a bigger war which Tanzania would get involved too.Acha Maneno mengi, Ukweli ni kwamba kabla ya KDF kwenda Somalia, wakenya walikua hawauliwi wala kushambuliwa kwa kiwango hiki, kitendo cha kwenda Somalia kimekua ni hasara kubwa kwa Kenya. Alshabab walikua wakivuka mpaka kuwateka watalii ili kuitisha pesa, hawa kuwa wakiwashambulia wakenya kwa kiasi hiki. Mlikurupuka lazima mkubaliane na huo ukweli, acha kuendelea kutetea maamuzi ya hovyo ya viongozi wenu.
Kubalini kujifunza bwana, shifta bandits kitu gani waliwahi hata kuvamia choo cha Westgate?Even before kdf went to somalia.
North Eastern Kenya was not safe they had what was popularly known as shifta bandits that reigned terror on innocent Travellers.
So you decided to save ships in exchange with Kenyan lives and security?. That's why you are ranked as a failed state.Toursits and ships were hijacked for ransoms.
Why did alshabaab need all that money and what was their real intention after getting the money ?...
Our decision to go into somalia was informed by intelligence not those stories you pick from newspaper articles .
And then that damn intelligency failed to speculate more than three massive attacks.Toursits and ships were hijacked for ransoms.
Why did alshabaab need all that money and what was their real intention after getting the money ?...
Our decision to go into somalia was informed by intelligence not those stories you pick from newspaper articles .
Do not assume, before KDF went into Somalia, security in Kenya was far away better than now, nor Kenyan life was lost, by today, more than 2500 Kenyan lives has been wasted because of your useless leaders' decisions.Right now we would be fighting a bigger war which Tanzania would get involved too.
So you decided to save ships in exchange with Kenyan lives and security?. That's why you are ranked as a failed state.