Kenya and Burundi debt to GDP ratios projected to exceed 60%

Kenya and Burundi debt to GDP ratios projected to exceed 60%

Kwenye hoja zake sijaona miradi mikubwa ifuatayo

Ujenzi wa bandari Dar zaidi ya trillion 1

Ujenzi wa bandari Tanga, Mtwara, Tanganyika, Victoria, Nyasa zaidi ya billion 600

Ujenzi wa miradi ya maji nchi nzima ukiwemo mradi mkubwa wa kutoka Victoria mpaka Tabora zaidi ya trillion 2

Miradi ya DMDP zaidi ya billion 600

Ubungo interchange zaidi ya billion 200

BRT Mbagala zaidi ya billion 100

Salender Bridge zaidi ya billion 270

Ujenzi wa Kigongo Busisi zaidi ya billion 500

Ujenzi wa barabara kwa mikopo zaidi ya trillion 3

Hapo sijasema SGR lot 2 na miradi mingine ambayo Magufuli hajasema kwamba tunatumia pesa za ndani.
 
Kwenye hoja zake sijaona miradi mikubwa ifuatayo

Ujenzi wa bandari Dar zaidi ya trillion 1

Ujenzi wa bandari Tanga, Mtwara, Tanganyika, Victoria, Nyasa zaidi ya billion 600

Ujenzi wa miradi ya maji nchi nzima ukiwemo mradi mkubwa wa kutoka Victoria mpaka Tabora zaidi ya trillion 2

Miradi ya DMDP zaidi ya billion 600

Ubungo interchange zaidi ya billion 200

BRT Mbagala zaidi ya billion 100

Salender Bridge zaidi ya billion 270

Ujenzi wa Kigongo Busisi zaidi ya billion 500

Ujenzi wa barabara kwa mikopo zaidi ya trillion 3

Hapo sijasema SGR lot 2 na miradi mingine ambayo Magufuli hajasema kwamba tunatumia pesa za ndani.
Mkuu unamjibu vizuri sana but kwa sababu wako kishabiki na kimuhemuko zaidi hawawezi kukuelewa.
 
Ulikua na cheti fake?

Waulize maelfu ya wastaafu walioko kwenye foleni kila siku pale NSSF kama walikua na vyeti feki.

Serikali inashindwz kuwalipa wastaafu waliostaafu kwa heshima kwny utumishi wa umma,hao feki itapata wapi hela za kuwalipa wkt yenyewe ina hali mbaya?

Hakuna pesa wala nini,keleleeee nyingi.
 
Waulize maelfu ya wastaafu walioko kwenye foleni kila siku pale NSSF kama walikua na vyeti feki.

Serikali inashindwz kuwalipa wastaafu waliostaafu kwa heshima kwny utumishi wa umma,hao feki itapata wapi hela za kuwalipa wkt yenyewe ina hali mbaya?

Hakuna pesa wala nini,keleleeee nyingi.
Serikali saivi lazima ifanye due diligence sababu ya walichokiona kwenye ghost workers zaidi ya 12k
 
Serikali saivi lazima ifanye due diligence sababu ya walichokiona kwenye ghost workers zaidi ya 12k

Due diligence kwenye mafao yetu lkn kwenye mafao yao,wake zao na ndg zao hua ni fasta tu wameshawekewa.
 
Back
Top Bottom