Geza Ulole
JF-Expert Member
- Oct 31, 2009
- 65,136
- 91,917
Kwenye hoja zake sijaona miradi mikubwa ifuatayo
Ujenzi wa bandari Dar zaidi ya trillion 1
Ujenzi wa bandari Tanga, Mtwara, Tanganyika, Victoria, Nyasa zaidi ya billion 600
Ujenzi wa miradi ya maji nchi nzima ukiwemo mradi mkubwa wa kutoka Victoria mpaka Tabora zaidi ya trillion 2
Miradi ya DMDP zaidi ya billion 600
Ubungo interchange zaidi ya billion 200
BRT Mbagala zaidi ya billion 100
Salender Bridge zaidi ya billion 270
Ujenzi wa Kigongo Busisi zaidi ya billion 500
Ujenzi wa barabara kwa mikopo zaidi ya trillion 3
Hapo sijasema SGR lot 2 na miradi mingine ambayo Magufuli hajasema kwamba tunatumia pesa za ndani.
Mkuu unamjibu vizuri sana but kwa sababu wako kishabiki na kimuhemuko zaidi hawawezi kukuelewa.Kwenye hoja zake sijaona miradi mikubwa ifuatayo
Ujenzi wa bandari Dar zaidi ya trillion 1
Ujenzi wa bandari Tanga, Mtwara, Tanganyika, Victoria, Nyasa zaidi ya billion 600
Ujenzi wa miradi ya maji nchi nzima ukiwemo mradi mkubwa wa kutoka Victoria mpaka Tabora zaidi ya trillion 2
Miradi ya DMDP zaidi ya billion 600
Ubungo interchange zaidi ya billion 200
BRT Mbagala zaidi ya billion 100
Salender Bridge zaidi ya billion 270
Ujenzi wa Kigongo Busisi zaidi ya billion 500
Ujenzi wa barabara kwa mikopo zaidi ya trillion 3
Hapo sijasema SGR lot 2 na miradi mingine ambayo Magufuli hajasema kwamba tunatumia pesa za ndani.
Sijajua kama deni ni kubwa kiasi hiki dah sasa mapesa haya yote wamepeleka wapi? Na bado wanazidi kukopa ππππ
Ulikua na cheti fake?
Serikali saivi lazima ifanye due diligence sababu ya walichokiona kwenye ghost workers zaidi ya 12kWaulize maelfu ya wastaafu walioko kwenye foleni kila siku pale NSSF kama walikua na vyeti feki.
Serikali inashindwz kuwalipa wastaafu waliostaafu kwa heshima kwny utumishi wa umma,hao feki itapata wapi hela za kuwalipa wkt yenyewe ina hali mbaya?
Hakuna pesa wala nini,keleleeee nyingi.
Serikali saivi lazima ifanye due diligence sababu ya walichokiona kwenye ghost workers zaidi ya 12k