Kenya Army Demistfied

Kenya Army Demistfied

Mbona Al Shabab inawasumbua kila siku. Hiyo tulifanya tukiwa national service...JKT! Jeshi lenu sawa na JKT ya Tanzania!
 
Acha unazi usio na maana: jeshi linapimwa kwa vifaa, training na mazingira wanayoishi wanajeshi. Utakuta kuna uhusiano mkubwa kati ya nguvu za jeshi na uchumi wa nchi- angalau katika mifano michache ya udikteta ambapo kiongozi yuko radhi nchi nzima ife njaa ili jeshi tu lipate kila kitu (kama ilivyokuwa Ethiopia ya Mengistu).
Ukweli : kwa vifaa jeshi la Kenya lina vifaa vya kisasa na mbali mbali zaidi ya jeshi lako (Mna ndege ngapi ya Mig 17 siku hizi?) Maisha ya wanajeshi? Hapa napenda maoni zaidi ya wana JF. Unless wasema kama vita ikizuka uko tayari kupigana kwa uta!
 
Acha unazi usio na maana: jeshi linapimwa kwa vifaa, training na mazingira wanayoishi wanajeshi. Utakuta kuna uhusiano mkubwa kati ya nguvu za jeshi na uchumi wa nchi- angalau katika mifano michache ya udikteta ambapo kiongozi yuko radhi nchi nzima ife njaa ili jeshi tu lipate kila kitu (kama ilivyokuwa Ethiopia ya Mengistu).<br />
Ukweli : kwa vifaa jeshi la Kenya lina vifaa vya kisasa na mbali mbali zaidi ya jeshi lako (Mna ndege ngapi ya Mig 17 siku hizi?) Maisha ya wanajeshi? Hapa napenda maoni zaidi ya wana JF. Unless wasema kama vita ikizuka uko tayari kupigana kwa uta!
<br />
<br />
Hata Idi Amin alikuwa na vifaa zaidi ya Tanzania lkn matokeo unayafahamu. Halafu hii thread iondolewe maana mjadala unaoelekea kulinganisha jeshi la kenya na Tanzania ni matusi kwa Tanzania. Haiwezekani JWTZ ilinganishwe na jeshi ambalo linasumbuliwa hata na mungiki. Kwa taarifa tu ni kuwa kwa tabia za wakenya zilivyo kama jeshi lao lingekuwa na uwezo wa kiwango hata cha Uganda wangeanzisha vita dhidi ya Tanzania ili kupokonya Mlima kilimanjaro, lkn sasa wanaogopa kupigwa maana wanajua tofauti kati ya JWTZ na jeshi lao.
 
<br />
<br />
Hata Idi Amin alikuwa na vifaa zaidi ya Tanzania lkn matokeo unayafahamu. Halafu hii thread iondolewe maana mjadala unaoelekea kulinganisha jeshi la kenya na Tanzania ni matusi kwa Tanzania. Haiwezekani JWTZ ilinganishwe na jeshi ambalo linasumbuliwa hata na mungiki. Kwa taarifa tu ni kuwa kwa tabia za wakenya zilivyo kama jeshi lao lingekuwa na uwezo wa kiwango hata cha Uganda wangeanzisha vita dhidi ya Tanzania ili kupokonya Mlima kilimanjaro, lkn sasa wanaogopa kupigwa maana wanajua tofauti kati ya JWTZ na jeshi lao.

wivu.. ni kweli jeshi la kenya lina vifaa vizuri sana.. bajeti yao katika jeshi huwezi kulinganisha na yetu!
 
Jeshi la Kenya pia ni Professional na la muhimu zaidi depoliticized.
 
Katik karne hii tunachtakiwa kukipa Priority ni Polisi na sio Jeshi.
 
Jeshi la Kenya pia ni Professional na la muhimu zaidi depoliticized.
<br />
<br />
Wewe ni kishoka nini! kama jeshi la kenya lingekuwa depoliticized kibaki angekuwa rais kipindi hiki?
 
wivu.. ni kweli jeshi la kenya lina vifaa vizuri sana.. bajeti yao katika jeshi huwezi kulinganisha na yetu!
<br />
<br />
Siwezi nikawaonea wivu Kenya kwasababu hakuna walichokifanya ktk masuala ya kijeshi. Efficiency ya jeshi ni mafanikio ktk operation zake. sasa naomba nitajie operation hata tatu ambazo jeshi la kenya limefanya kwa mafanikio.
 
WANA NAVY NA AIR FORCE NZURI KUTUZIDI LAKINI SI jESHI LA NCHI KAVU (ARMY). UNAJUA NAVY NA AIR FORCE YANATEGEMEA UBORA WA (MELI -MANOWARI NA NDEGE-KWELI WAMEJAALIWA) ZANA LAKINI ARMY LINATEGEMEA ZAIDI UWINGI NA UMAHIRI WA ASKARI WENYEWE AS PRACTISED.
 
Hapa kenya kuna battalions mbili za uk kwaajili ya kutoa mafunzo na misaada kwa jeshi la hapa kenya, tz wamejaa wachina
 
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
Wewe ni kishoka nini! kama jeshi la kenya lingekuwa depoliticized kibaki angekuwa rais kipindi hiki?
<br />
<br />
Kaka give credit where credit is due.Kibaki amepata urais kutoka upinzani baada ya kumshinda baba Moi,Jeshi hawamwekea kauzibe. Hata uchaguzi uliopita jeshi kwa kiwango kikubwa walikuwa neutral,Polisi ndio walotumiwa kutuliza vurugu hata kupelekea mkuu wa jeshi la polisi kufishwa the Hague kujibu tuhuma za uvunjifu wa haki za binadamu. Hapa, wakuu wetu wapo on record kwa kusema hawawezi kutambua ushindi wa upinzani iwapo watashinda. Mambo ya ajabu kweli enzi za multi party politics.
 
And when they are in barracks
[video=youtube_share;B4fHUxo21nk]http://youtu.be/B4fHUxo21nk[/video]
 
wivu.. ni kweli jeshi la kenya lina vifaa vizuri sana.. bajeti yao katika jeshi huwezi kulinganisha na yetu!

Mkenya wa kawaida anayeishi Gologocho ananufaikaje na bajeti kubwa ya jeshi la nchi yake.......does it add the food on table?
 
Acha unazi usio na maana: jeshi linapimwa kwa vifaa, training na mazingira wanayoishi wanajeshi. Utakuta kuna uhusiano mkubwa kati ya nguvu za jeshi na uchumi wa nchi- angalau katika mifano michache ya udikteta ambapo kiongozi yuko radhi nchi nzima ife njaa ili jeshi tu lipate kila kitu (kama ilivyokuwa Ethiopia ya Mengistu).
Ukweli : kwa vifaa jeshi la Kenya lina vifaa vya kisasa na mbali mbali zaidi ya jeshi lako (Mna ndege ngapi ya Mig 17 siku hizi?) Maisha ya wanajeshi? Hapa napenda maoni zaidi ya wana JF. Unless wasema kama vita ikizuka uko tayari kupigana kwa uta!

Hawana kitu kenya maneno tu, M7 aliwadhibiti kisiwa cha Migingo wao si matajiri kuliko Uganda mbona walifyata Mkia!wangejaribu wangeona cha Mtema kuni.
 
Guyz, acheni kubishana! Kama we mkenya..solve tatizo la njaa kwanza! Jeshi kitu gani! Amani kwanza! Tanzania tunacho waweza Kenya ni kuwa tupo wengi! I swear, Kenya ni vigumu sana kuwapiga watanzania kivita! Kuwa na vifaa sio kitu..hata idi amin alikuwa na jeshi kubwa na vifaa vizuri kuliko hata watanzania! Tukiongea ki ukweli bila kutetea upande wowote na kwa kutumia logic... Tutakubali kuwa kuwa na Vifaa vingi haimaanishi unaweza kujiahami..
 
Thread hii imekaa kimshazali sana hata kuichangia,lakini acha niseme hivi vifaa peke yake havipigani vita,na kwa hilo Idd Amini alituzi kwa mbali,kwanza alikuwa na ndege za kirusi Mig 21 an vifaru aina ya T72 kama sitakosea sisi pia tulikuwa na Mig 21 tawi la mwanza chache sana na kwa matatizo ya kiufundi hazikuruka kwa uchache ndege zilizoko ngerengere F6 ziliruka,kilichofanyika ni kupata kifaa cha kutungulia ndege tena kinachofuata moshi'' stella''hicho ndicho kilichosaidia ndege nyingi za Amini kuangushwa.Na wewe mchangiaji unaezungumzia ndege aina ya Mig17 hiyo si ya kuisifia ni ya kizamani tu kama hizo hapo juu.kitakachoshinda hapa ni moyo wa ujasiri wa jeshi la nchi kavu ambalo naamini kwa africa mashariki na kati hakuna wakutufikia.
 
kulinganisha kenya na tanzania ni sawa na USA na Israeli! Sisi hata askari magereza nchi kavu huwawezi.majeshi yote ya tz vita vya ardhini wameandaliwa vizuri.
 
<br />
<br />
Kaka give credit where credit is due.Kibaki amepata urais kutoka upinzani baada ya kumshinda baba Moi,Jeshi hawamwekea kauzibe. Hata uchaguzi uliopita jeshi kwa kiwango kikubwa walikuwa neutral,Polisi ndio walotumiwa kutuliza vurugu hata kupelekea mkuu wa jeshi la polisi kufishwa the Hague kujibu tuhuma za uvunjifu wa haki za binadamu. Hapa, wakuu wetu wapo on record kwa kusema hawawezi kutambua ushindi wa upinzani iwapo watashinda. Mambo ya ajabu kweli enzi za multi party politics.

Unamaanisha nini unaposema lilikuwa neutral? Huoni kuwa hizo ni politics jeshi linawezaje kuwa neutral wakati nchi inatetereka. nijuavyo ni kuwa jeshi linatakiwa kulinda usalama wa nchi, kwa hiyo kama si politics halikutakiwa kuwa neutral lilitakiwa lidhibiti watu wote waliokuwa wanahatarisha amani ya kenya kama vile kuanzia polisi, kivuitu na kibaki mwenyewe walioamua kupika matokeo. Katika hilo la politics jeshi la kenya ni sawa na JWTZ
 
Back
Top Bottom