Usinifananishe na majobless wenzio najua imepenya hiyo..hakuna unachonizidi i hope so kuanzia pesa,elimu,mali na hata umaarufu..kama unataka ajira nje ya nchi yako nitafute nikupe ajira nchi ya maziwa na asali acha kushinda kibera huko wanaonifahamu wanajua mimi ni nani endelea na upumbavu wako tu...Khaa!![emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Tafuta kazi ufanye jf hutoiweza
hawawezi kuelewa hao wakenya ni machizi ...hawajui masuala ya kivita na kijeshi kwa ujumlaMdogo wangu ngoja nikupe siri ambayo wewe na wakenya wenzio hamuijui nadhani hiyo itafanya uelewe unapoambiwa Marekani ground battle haiwezi..unaikumbuka vita ya Iraq?..ile vita Mmarekani ground battle alikuwa anazidiwa na waarabu na msaada pekee ambao ulifanya Marekani ishinde vita ni makomandoo wa Tanzania ambao waliombwa watoe msaada wa mapambano ya ground battle na siku chache tu Marekani ikashinda vita Iraq nilitaka nisikupe hii siri lakini kwakuwa hutaki kuelewa unavyoambiwa ngoja nikwambie..unapoambiwa Watz wapo vizuri katika medani za kivita acha kukaza misuli ya makalio tulia tu upewe facts sio mnakaa Kibera mnadanganyana ujinga tu..cheki hiyo picha chini utamuona mzaramo mwenzetu akiwa na beji ya Tanzania hapo ni katika moja ya mission za Desert storm ya IraqView attachment 1248791
Usinifananishe na majobless wenzio najua imepenya hiyo..hakuna unachonizidi i hope so kuanzia pesa,elimu,mali na hata umaarufu..kama unataka ajira nje ya nchi yako nitafute nikupe ajira nchi ya maziwa na asali acha kushinda kibera huko wanaonifahamu wanajua mimi ni nani endelea na upumbavu wako tu...
Sio kila kitu lazima ujue..sindano ikikuuma unaruhusiwa kukimbia uzi kama wenzio wanavyofanya sio lazima kujibizana tuna mambo mengi ya kufanya..unapewa picha kuprove ubora wa Jwtz wanaume unabwabwaja tuHuku hupawezi...endelea na mipasho jomba
KDF wafananishwe na jeshi la mgambo TzHuwezi kufananisha kakikundi kawahuni na wanaume(JWTZ) askari 10 wa haka kakikundi kanako itwa KDF ni sawa na askari mmoja wa wanaume(JWTZ). Bora ungeandika TANZANIA POLICE FORCE VS KDF hapa at least kidogo ingesound kidogo. Hata Tanzania police force wanavikosi hatari kuliko haka kakikundi kaKDF
Sio kila kitu lazima ujue..sindano ikikuuma unaruhusiwa kukimbia uzi kama wenzio wanavyofanya sio lazima kujibizana tuna mambo mengi ya kufanya..unapewa picha kuprove ubora wa Jwtz wanaume unabwabwaja tu
Unatumia JF ya watanzania usitupangie..nenda kwenye forums zenu huko mbona mmeng'ang'ania humu kana hamtaki mipashoSina mda huo...mipasho peleka katika majukwaa ya tanzania hko
Unatumia JF ya watanzania usitupangie..nenda kwenye forums zenu huko mbona mmeng'ang'ania humu kana hamtaki mipasho
Jomba, sasa mbna wakiingia kenya mnasema eti tumewashindwa..kumbe wajua wanaweza jisweka km wakimbizi na kufanya yao...
Kongole kw kulijua hilo kwanza, halafu ujue ground battle ni ngumu sana..
Hata huyo mmarekani unayemdharau sidhan km ako vibaya hvo..manake ukumbuke wale jamaa hutumia guerilla warfare, so watu km hao ni ngumu sana kuwadhibiti
Duh we jamaa!!
USA hawana ubavu wa ground wale wanaweza vta za makombora.
Rejelea vita ya N.korea na S.korea China ikiisapoti N.korea US ikiisapoti S.korea uliza US na mwenzake kiliwapata nn.
Rejelea vta ya US na Vietgong(Vietnam).
USA hana lolote.
Hivi wale waliokuwa wanaiba mikate na juice kwenye lile tukio la Westgate bado wapo kwenye "special force?
Juzi tu makamanda wetu walipasua waru vichwa pale dusit..njoo na wewe ujaribu, manake watanzania mnaipenda sana alshababu..
Buda hujapata connection na wewe ukajiswike ndani
Wakenya ni kama mamba, zaidi ya hiyo midomo hamna cha zaidi
Wakenya ni kama mamba, zaidi ya hiyo midomo hamna cha zaidi
Ingieni somalia..acheni uoga
Wametukosea nini mpaka tuingie huko?
USA hyo tumeshaachana nayo...
Umesema magaidi wanaweza jisweka km wakimbizi..
Sasa mbna wakiingia kenya mnawalaumu wakenya, mara hoo tokeni somalia sijui jeshi lenu bovu...
Nyinyi ni bure kabisa
Nyie kama mko vizuri hamuhitaji kuja hapa kujidai nendeni mkamalizane na Alshabab kwanza halafu rudi hapa mjisifie, bila hivyo huna cha kufananisha kati ya KDF na TPDF hivi ni vitu viwili tofauti, TPDF haihitaji porojo za mitandaoni ipo kazini.ha ha ha ... war is not fought with teeth and muscles ...rather capability..
Our military is better trained and has more capability on operations , logistics and weapons