Acha uongo buddah.
Una uhakika tumewashindwa??
Toka wavamie kwa kushtukiza na kukimbia kuna mjeda wetu yupi alifariki ama kuuawa?
Nimekuuliza swali jibu buddah.
Toka JWTZ wawe Congo umesikia AFD wakifanya fujo?
Una uhakika tumewashindwa??
Toka wavamie kwa kushtukiza na kukimbia kuna mjeda wetu yupi alifariki ama kuuawa?
Nimekuuliza swali jibu buddah.
Toka JWTZ wawe Congo umesikia AFD wakifanya fujo?
Majeshi wenu huaga wanakufa hko..mbna huaga hampendi kuambiwa ukweli...
AFD tu mmewashindwa, sijui sai mko na mda gani..je mashababi ndio mtawaweza