Vyamavingi
JF-Expert Member
- Oct 3, 2014
- 5,818
- 5,555
Nimegundua naongea na under 40. Nakuuliza, unamfahamu rais wa pili wa Uganda? BTW niambie hata collabo ambayo KDF wamewahi kushinda.Kwani jwtz wameshawai kushinda vita..ama unaongelea zile collabo mlizofanya kupiga vijigaidi...km nynyi mko vizuri kwel mbna mpka sai mpo congo...maluzeni hao vijana haraka iwezekanavyo mtawazwe washindi..
Kw peace keeping missions hata usiguse, kdf walianzaga kitambo..
Nimeshatoa ushahidi wa mapambano ambayo TPDF imepambana ktk nchi nne za Afrika na kushinda yote, pia mafunzo ambayo TPDF imeyatoa na inayatoa kwa majeshi ya nchi nyinginezo za Afrika. Pia ushiriki wa TPDF ktk missions za UN huko Darfur, DRC na Lebanon.
Sasa nitajie KDF imepigana vita ngapi ktk nchi ngapi na imeshinda ngapi? KDF imetoa mafunzo ktk nchi zipi?
Vv
Hhhhhhh unajua bro punguza miraa.
Islamic Foundation ni ya Tanzania na ya Watanzania na imewahi kutoa msaada kuliko yeyote Kwahyo hakuna cha kulaumu kwasababu msaada umetolewa na Watanzania wenyewe.
Ingekua ninyi mmewahi kutoa msaada sisi tukachelea ingefaa tulaumiwe.
Nimegundua naongea na under 40. Nakuuliza, unamfahamu rais wa pili wa Uganda? BTW niambie hata collabo ambayo KDF wamewahi kushinda.
Vv
Vv
TPDF ilimaliza vita, Dlakama alilazimika kusaini mkataba wa amani na FRELIMO na kumaliza vita. RENAMO pamoja na kupata msaada mkubwa wa makaburu bado alishindwa kuidhoofisha FRELIMO kutokana na msaada mkubwa wa TPDF. Kama sio TPDF, Mozambique ingekuwa chini ya RENAMO, makaburu walishindwa kupindua FRELIMO kutokana na back up ya TPDF. Kwa taarifa yako tu, TPDF waliondoka Mozambique miaka ya mwanzo kabisa ya 1990 baada ya RENAMO na FRELIMO kusaini mkataba wa amani. RENAMO walilazimika kuingia mktaba baada ya utawala wa makaburu kukoma huko Afrika Kusini.Mbna mozambique mlikimbia mbio mbio..au ni sifa ndio mnataka, manake mnapenda sana kupewa sifa
Hivi vita mliyoingia ilikuwa ni kuikomboa Kismayo au kuisaidia Serikali ya Somalia na kuwasambaratisha Alshabaab? Mbona bado Alshabaab wanaingia Kismayo hadi wanatokea Garisa? Kama kweli KDF wangekuwa na ubavu project ya ukuta wa 700kms kwenye mpaka wa Kenya na Somalia ni wa nini? Why spend billions of shillings just for a wall if you have won the war against Alshabaab?Sasasa mzee wa miaka 100...hatufanyagi collabo sisi hku..
1.Tulismbaratisha shifta
2.tukanyakua kismayu
Niendeleee
Jeshi la ubakaji la Tanzania😂😂😂😂 Ngono tu ndio mnaelewa siku hizi afu hizo Nchi Ni zile hazijiwezi sijui komoro na visiwa vingine vidogo vidogo Tena kwa usaidizi wa Nchi zingine, hamna Vita JWTZ/JUTZ(Jeshi la ubakaji la Tanzagiza) ishapigana peke yake na Kama unapinga let ushahidi...bure kabisaNimeshatoa ushahidi wa mapambano ambayo TPDF imepambana ktk nchi nne za Afrika na kushinda yote, pia mafunzo ambayo TPDF imeyatoa na inayatoa kwa majeshi ya nchi nyinginezo za Afrika. Pia ushiriki wa TPDF ktk missions za UN huko Darfur, DRC na Lebanon.
Sasa nitajie KDF imepigana vita ngapi ktk nchi ngapi na imeshinda ngapi? KDF imetoa mafunzo ktk nchi zipi?
Vv
Mbna mozambique mlikimbia mbio mbio..au ni sifa ndio mnataka, manake mnapenda sana kupewa sifa
Tanzania hapa info za jeshi ni siri....sio kama nyie, unaweza ukakuta hamfiki hata robo. Wekeni tu zenu hewani.Hawa ndiyo watu wanalinganishwa na KDF.
Angalia formations na services za KDF peke yake na uniambie kama Tanzania Army is on the same level.
capabilities my friend.
The Kenya Army is made up of various formations and services.
Kenya Army Formations:
Kenya Army Infantry
2 Brigade
3 KR (Kenya Rifles) Battalion. This is Kenya's oldest unit which dates back to the 1880s. They are based in Lanet, Nakuru. Their Colour is red and their motto is 'Red Scarlets'
5 KR (Kenya Rifles) Battalion. Based in Gilgil, their colour is Dark Blue. Their unit motto is 'Fighting Five'
9 KR (Kenya Rifles) Battalion. They are based in Eldoret at the Moi Barracks. Their colour is Orange. Their unit motto is 'Orangers fire and war machines'
21 Transport Company
22 Field Workshop
23 Ordnance Company
4 Brigade
1 KR (Kenya Rifles) Battalion. Based in Nanyuki, Their motto is 'Green Fire' and their colour is Green.
7 KR (Kenya Rifles) Battalion. Based at Langata Barracks in Nairobi. Their colour is Maroon and their unit motto is 'Maroon Commandoes' and 'Man to man I am the best'
15 KR (Kenya Rifles) Battalion. Formed in the early 1990s. It has been based in the coastal region of the country. currently housed at Mariakani Barracks. Their colour is Blue and the unit motto is 'Stay High'
41 Transport Company
42 Field Workshop
43 Ordnance Company
6 Brigade
17 KR (Kenya Rifles) Battalion. Formed in 2011. They are known as the 'Desert Rangers' and their colour is purple. They initially used desert brown as their colour which was changed on 2018 Jamhuri day celebrations after they were presented with new colours which were purple.
19 KR (Kenya Rifles) Battalion. ALso known as the 'Ash Warriors'. Their unit colour is Ash Grey.
21 KR (Kenya Rifles) Battalion
61 Transport Company
62 Field Workshop
63 Ordnance Company
8 Brigade
23 MIB (Mechanised Infantry Battalion)
25 MIB (Mechanised Infantry Battalion)
27 MIB (Mechanised Infantry Battalion)
110 Brigade 112 Brigade
and the mighty -
50th Air Cavalry Battalion
Ranger Regiment
20 Parachute Battalion
40 Ranger Strike Force Battalion
Special Operations Training School (SOTS)
Kenya Army Artillery Brigade
66 Artillery Battalion
75 Artillery Battalion (AD)
77 Artillery Battalion
88 Artillery Battalion
School Of Artillery (SOA)
Kenya Army Armoured Brigade
76 Armoured Recce Battalion (ARB)
78 Tank Battalion
81 Tank Battalion
86 Armoured Recce Battalion (ARB)
91 Tank Battalion
School Of Armour
Kenya Army Engineers Brigade
10 Engineers Battalion
12 Engineers Battalion
School of Combat Engineering (SOCE)
Kenya Army Corps of Signals (KACS)
AHQ Signal Battalion
School of Signals
Kenya Army services:
Kenya Army Ordnance Corps (KAOC)
Defence Forces Ordnance Depot (DFOD)
2nd Ordnance Battalion
School of Ordnance (SOO)
Kenya Army Corps of Transport (KACT)
Transport Battalion
Heavy Lift Battalion
School of Transport (SOT)
Kenya Army Corps of Electrical and Mechanical Engineering (KACEME)
This Corps mainly deals with maintenance of motor and mechanical equipment that is used in the Kenya Army. It is based at Kahawa Garrison along Thika Road.
Workshop Battalion
School of Electrical and Mechanical Engineering (SEME)
Military police Corps (MPC)
It is based at the Defence Headquarters along Lenana Road Nairobi
1 MP battalion
2 MP battalion
School of Military Police (SOMP)
Kenya Army Medical Corps (KAMC)
Medical Battalion
Kenya Army Corps of Education (KACE)
Defence Forces Constabulary (DFC)
Tanzania Army
View attachment 1244636
Jeshi la ubakaji la Tanzania[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Ngono tu ndio mnaelewa siku hizi afu hizo Nchi Ni zile hazijiwezi sijui komoro na visiwa vingine vidogo vidogo Tena kwa usaidizi wa Nchi zingine, hamna Vita JWTZ/JUTZ(Jeshi la ubakaji la Tanzagiza) ishapigana peke yake na Kama unapinga let ushahidi...bure kabisa
Wewe unaamini Alshabab ni jeshi kubwa lenye uwezo mkubwa ktk Pembe ya Afrika!Jeshi la ubakaji la Tanzania[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Ngono tu ndio mnaelewa siku hizi afu hizo Nchi Ni zile hazijiwezi sijui komoro na visiwa vingine vidogo vidogo Tena kwa usaidizi wa Nchi zingine, hamna Vita JWTZ/JUTZ(Jeshi la ubakaji la Tanzagiza) ishapigana peke yake na Kama unapinga let ushahidi...bure kabisa
Yawezekana hujui kuwa Somalia kuna majeshi ya Uganda, Burundi na Kenya! Hata hivyo, KDF ndio imerambishwa sakafu mara nyingi zaidi na Alshabab. Alshabaab walifanikiwa kuingia University ya Garissa na kushambulia kwa masaa kadhaa na kuua wanafunzi wengi wakati KDF na vikosi vya usalama wakichikua muda mrefu kuji-mobilize. Kama kwamba haitoshi, shambulio la Alshabaab hotelini Nairobi mwaka huu, ilibidi vikosi vya Uingereza visaidie kuokoa jahazi. Tanzania TPDF tosha, hawahitaji msaada wa mamluki.Jeshi la ubakaji la Tanzania[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Ngono tu ndio mnaelewa siku hizi afu hizo Nchi Ni zile hazijiwezi sijui komoro na visiwa vingine vidogo vidogo Tena kwa usaidizi wa Nchi zingine, hamna Vita JWTZ/JUTZ(Jeshi la ubakaji la Tanzagiza) ishapigana peke yake na Kama unapinga let ushahidi...bure kabisa
Wale wanamgambo wakawavamia a Tz nyote mnakuwa chini ya Sharia.Wewe unaamini Alshabab ni jeshi kubwa lenye uwezo mkubwa ktk Pembe ya Afrika!
Vv
Nilikuambia ushahidi...Jeshi lenu Ni la ki-rebel outfit hivi.Kuhusu huo ubakaji nilikuomba ulete vivid news ukashindwa unabwabwaja.
TPDF imeongoza brigade ya mapambano na kushinda inamaana ukiwa na TPDF upo na jeshi imara.
Na kwann wawape mamlaka TPDF waongoze brigade km wao sio imara na werevu??
Mbona mropokaji mwasiti?
Nilikuambia ushahidi...Jeshi lenu Ni la ki-rebel outfit hivi.
They wont dare, wataishia mpakani Horiri, Horohoro na Namanga.Wale wanamgambo wakawavamia a Tz nyote mnakuwa chini ya Sharia.