Kenya Army VS Tanzania Army

Haijakomboa, mmesaidiana kupigana vita na wahuni..km akina iddi amin dada,
Hamna lolote maneno ya mkosaji.
Inauma kuwa TPDF ina historia yake sio km ya KDF uchwara hawana lolote.
TPDF imekomboa mataifa lukuki ya Africa.
 
Special Ops Boss in charge of Operation Neptune Spear - killing Al Qaeda Terrorist Osama Bin Laden In Kenya.

 
Hushangai wale vijana wa mapanga walivyo wakatakata jwtz
Wahuni ni Alshabaab, askari wa Alshabab wengune hawavai hata viatu, lkn inashangaza jinsi wanavyowadhibiti KDF ambao wako full geared.

Vv
 
Nyinyi sio size ya KDF
 
Hivi wale waliokuwa wanaiba mikate na juice kwenye lile tukio la Westgate bado wapo kwenye "special force?
hahaha, kenya imepakatwa kijeshi na western kama ilivyo kiuchumi na kijamii, real kenya ni fallen state
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…