Kenya Army VS Tanzania Army

Kenya Army VS Tanzania Army

Kwa ulengaji shabaha hawa jamaa walibeba gold category zote kwa mashindano ya Afrika kule SA. Fanya fujo uone.

IMG_20191102_074241.jpg
IMG_20191103_184731.jpg
 
Haijakomboa, mmesaidiana kupigana vita na wahuni..km akina iddi amin dada,
Hamna lolote maneno ya mkosaji.
Inauma kuwa TPDF ina historia yake sio km ya KDF uchwara hawana lolote.
TPDF imekomboa mataifa lukuki ya Africa.
 
Special Ops Boss in charge of Operation Neptune Spear - killing Al Qaeda Terrorist Osama Bin Laden In Kenya.
EIWWIsiWkAElzc_.jpeg

EIWWODVWkAAxZ_2.jpeg
 
Hushangai wale vijana wa mapanga walivyo wakatakata jwtz
Wahuni ni Alshabaab, askari wa Alshabab wengune hawavai hata viatu, lkn inashangaza jinsi wanavyowadhibiti KDF ambao wako full geared.

Vv
 
Wakumbusheni Kenya
Kuna vijana wetu 12 tuliwapoteza Kongo baada ya kupambana masaa 12 na waasi Wa Adf ..... Bila msaada""; msitu mnene" wala hawajakimbia kambi;;;

Lakin hawa wakenya huko somalia mnakimbia kambi hatariii( No Uvumilivu) ,,""" Askar mkiguswa kidog mnafarakana vibaya[emoji23][emoji23]

TPDF """" Ale wiiiiiiiiiiiii[emoji123]View attachment 1247436
Nyinyi sio size ya KDF
images-3.jpeg
images-1.jpeg
 
Hivi wale waliokuwa wanaiba mikate na juice kwenye lile tukio la Westgate bado wapo kwenye "special force?
hahaha, kenya imepakatwa kijeshi na western kama ilivyo kiuchumi na kijamii, real kenya ni fallen state
 
Back
Top Bottom