Kenya Army VS Tanzania Army

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]ndiyo maana midebwedo huwa mnachapika hovyo kwenye uwanja wa mapambano
aangalie wanaume wa jeshi la polisi hawa hawa drinking force haiwafikii hata robo sembuse JWTZ?HAHAHHA
 
Vita mmeshinda ni kuumaliza upinzani tu
Watz kama wajapani bunduki tumeweka chini tumebeba misumeno na nyundo tunajenga nchi mwakani sjyo mbali msije sema hatukuwaambia
 
Watz kama wajapani bunduki tumeweka chini tumebeba misumeno na nyundo tunajenga nchi mwakani sjyo mbali msije sema hatukuwaambia
Mnajenga nchi wapi na wakati mna mpango wa kuumaliza upinzani kwanza..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…